Young Dee akiri kutumia dawa za kulevya, aomba radhi

Young Dee akiri kutumia dawa za kulevya, aomba radhi

dah unga hauachwi kwa kusema tu mdomoni bhana, akampe kampani dada ake ray c pale rehab hata tuweek tutatu labda ndo wataipunguza kidogo kwny blood stream.
 
Huyo dogo kaanza kutumia kitambo hasa bangi tangu anasoma kitunda secondary na alikuwa amepanga mtaani kwetu yey smtym alikuwa pusha namfaham vzuri sana huyo
Nani anaongelea bangi hapa?
 
Kweli Magufuli kakaza,mpaka watu wanakimbia unga si mchezo! Sukari kitambo imeadimika,sijui mchele nao vipi?
 
Sijaelewa...sisi wanainchi tunaombwa radhi kwa lipi haswa?

Mimi nilidhani waliomuuzia unga ndio wangeita waandishi na kumuomba yeye radhi.
 
Huyu dogo huaga nmkubali ,,kumbe lisemwlo lipo mpaka kakiri mwenyewe
 
Kuna kipindi nilisema young D anatumia madawa kuna mjinga jamii forum alibisha na kunitukana mtu anayetumia madawa nisawa upande mti wa mnazi nyuma ya nyumba
 
Rapper Young Dee hatimaye amethibitisha tetesi za miaka mingi kuhusu utumiaji wa madawa ya kulevya na kukiri kuwa ametumia kwa kipindi cha mwaka mmoja na nusu.

xYoung-Dee.jpg.pagespeed.ic.fmzrCLRK2Y.webp


Akiongea na waandishi wa habari leo, Escape One jijini Dar es Salaam, rapper huyo amewaomba radhi watanzania kwa vitendo hivyo na kuahidi kubadilika.

Amedai kuwa ni marafiki ndio waliompoteza na kumuingiza kwenye matumizi ya madawa ya kulevya.

Amesema amepewa ushauri nasaha na wataalam na kwamba ameachana na matumizi hayo.

Pia rapper huyo amerejea rasmi kwenye uongozi wake wa zamani, Million Dollar Boyz, MDB alioachana nao mwaka jana.

x13398965_259931741052515_1071474077_n.jpg.pagespeed.ic.MuK75NZZMX.webp

Young Dee na meneja wake Max Rioba

Kwa muda mrefu rapper huyo alikuwa akikanusha tetesi hizo.
Aendelee tu kwani kuna shida gani, anamuumiza nani? Amevunja haki ya nani?
 
mwache aendelee tu na hayo madawa siku hizi yanachangia sana vijana kuwa mashoga
 
..dah.,kuna mijitu minafiki hatari!..eti haiwahusu wakati imesoma heading inamuhusu Young D hadi imekomenti maamae!...mingine nayo eti aendelee tu!
..my middle finger salutes you all!
 
Hao watu hawaaminiki kabisa,nikimuona Ray c,sina hamu kabisa
 
Back
Top Bottom