Huyo sista inaonekana anamfia sana jamaa, halaf jamaa huwa ana chovya naye kidogo kidogo kutokana na effort za huyo csta, ila anaonaga aibu tuu kusemaYaah ndo inavyotakiwa hivyo ukimung'unya maneno ujumbe haumuingii muhusika vizuri
Umeona eeh inaboa kichizi kuona amber rose kufananishwa na huyu kinyago anayejiita amber lulu
AaahPoleni
Mmh si juzi ulikua unalia liaAaah
Mi nilisha faulu
Ila nikiona mtu anahangaika na hiyo kitu haya simlaum kwa kuwa najua anapiitia nn
Amber mwenyewe mbona mi naona si mbaya ki hivo
hata ningekuwa mimi nam'bandua huyo mtoto ningekuwa nakataa kabisa ni aibu kubwa sana kutoka na msichana kama huyoHuyo sista inaonekana anamfia sana jamaa, halaf jamaa huwa ana chovya naye kidogo kidogo kutokana na effort za huyo csta, ila anaonaga aibu tuu kusema
Hahahahata ningekuwa mimi nam'bandua huyo mtoto ningekuwa nakataa kabisa ni aibu kubwa sana kutoka na msichana kama huyo
huwajui watoto wazuri wewe , mm huyo kitendo cha kuniambia tu ananizimikia namlamba kofi hapo hapombona demu mkali tu mi binafsi namkubali huyo demu akikuibukia huchomoi wewe
duuuuh bhasi watu tunatofautianaHahaha
Si mbaya bhana ki hiivo
Mi ngekuwanaye ninge tangaza tuu
Hance inaonekana una dharau ww i wish nikuone tuhata ningekuwa mimi nam'bandua huyo mtoto ningekuwa nakataa kabisa ni aibu kubwa sana kutoka na msichana kama huyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mmh si juzi ulikua unalia lia
Mkuu uvu.ngu hauna chogoohkama ni kweli hii habari Young Dee kazingua li demu gani lile lina mchogo utafikiri nini sijui
Oooh[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nilikuwa namuelekeza jamaa situation ilivo kuwa yaan alikiwa anaongea kama ilivo nitokea, so ni kawa namtetea kwa wale wanao msema.
Ila nilisha move on si lii lii tena
Hamna Hance ni straight talker, anakwambia kitu kama anavo ki feelHance inaonekana una dharau ww i wish nikuone tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu uvu.ngu hauna chogooh
hapana kwakweli wanaume dizain ya hance ndo wale eat n runHamna Hance ni straight talker, anakwambia kitu kama anavo ki feel
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sorry!!
Wrong room.
Chura awe nayo wapi akat anajibinua yule??Bora mwenzio ana mchogo lakini chura anae kuliko wewe mwenye kichwa flat na kibamia
ha ha ha sina dharau mimi ila sina tabia ya kumpaka mtu mafuta kwa mgongo wa chupa , kama hana sifa anazostahili mimi namchana tu akichukia poaHance inaonekana una dharau ww i wish nikuone tu
Hahahahapana kwakweli wanaume dizain ya hance ndo wale eat n run