Alete mziki aache maneno..Dogo naye kaanza maneno ya kwenye kanga!
Asante kwa marekebisho, nilivyomsikia mara ya kwanza sikupay attention sana kwake, nilijua ni msanii wa kupita tu, ila kila miaka ilivyosonga alikuwa ananiprove wrong, alipotoaga stimu zimelipiwa kuanzia hapo sikuwaga na doubt juu ya uwezo wake hadi leo hii, halafu kanatokea kajamaa from no where kanasema anabebwaKwelii Kbsaa mkuu.. Badala ya kupiga kaz wanabaki kulalama tu.. BTW hawapendi ni ya 2004 mkuu
Mkuu wasanii wa bongo wakiona nyimbo zao zineshindwa penya mainstream ndo wanaanza Leta maneno kua fulani anabebwa na ujinga mwingi, badala wakae wajiulize nini soko linataka waje na madini ya kutosha ili watuteke wanabaki kulalama tuAsante kwa marekebisho, nilivyomsikia mara ya kwanza sikupay attention sana kwake, nilijua ni msanii wa kupita tu, ila kila miaka ilivyosonga alikuwa ananiprove wrong, alipotoaga stimu zimelipiwa kuanzia hapo sikuwaga na doubt juu ya uwezo wake hadi leo hii, halafu kanatokea kajamaa from no where kanasema anabebwa
hiyo nimeipenda sana.Ni kweli Joh anabebwa na hit song zake
Sikatai kuwa jo ni mkongwe ila media hasa zile zinazokaliwa na watangazaji wachaga wamekuwa wakilazimisha kutuaminisha kuw joh ni mkali kuliko wengine kitu ambacho sio kweli yaan joh huwa anahit hata akiimba ujinga tofauti na marapa wakali kama fid q au roma wanatoa nyimbo kali ila huwa zinabaniwa ila joh anapewa promo sana kuliko uwezo wake jamani
we unaakili sana kuna coment nmeitoa hapo juu kuwa joh aendelee hvhvo atatiboa anajua soko limekaa vpUtaka kusema ata Trace music, MTV ni za Wachaga? Ata Sarkodie alie tumia ngoma ya Joh Coke studio n Mchaga, RFA , KISS FM alikotokea sana Joh no za wachaga? Joh anajua sana na anachowaacha wenzie anajua kwenda na soko la mziki.
Darasa nae kagundua Manuva sasa anacheza na soko tu ndo maana anakwambia blah blah ataki kuskia..
Mafanikio hutokana na jitihada za mtu.
Sio lazima Joh awe kama Did au Roma. Kwa vile fasihi INA dhima kuu mbili kuelimisha na kuburudisha
sober[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Joh nimesikia track yake ya kwanza mwaka 2005 (hawapendi), kuanzia hapo hajawahi kurudi nyuma ni hit after hit hadi Leo hii. Namuheshimu sana msanii anayeweza kumaintain, wengi wamepita hapo katikati na tumewasahau, wengine wako sober house
wee nawe bhana dahhhYaani kuna wasanii nawachanganya kweli..dogo daresalama ...dogo janja ....young D...young killer... Ni watu tofauti au ?
Sidhan kama ni kweli ulichoongea but naheshimu waoni yakosikubaliani na huyu dogo, joh ni rapper mkali, n kimsingi joh na huyu young wana rap style tofauti, so kwa maoni yangu sioni kama joh makini anabebwa, joh ana strategy kubwa kuliko huyu dogo
Kufikiri saa nyingine nikuzito zaidi ya mawe! Ni media ngapi zinazomilikiwa na wachaga kiasi cha kumpaisha kimataifa?Sikatai kuwa jo ni mkongwe ila media hasa zile zinazokaliwa na watangazaji wachaga wamekuwa wakilazimisha kutuaminisha kuw joh ni mkali kuliko wengine kitu ambacho sio kweli yaan joh huwa anahit hata akiimba ujinga tofauti na marapa wakali kama fid q au roma wanatoa nyimbo kali ila huwa zinabaniwa ila joh anapewa promo sana kuliko uwezo wake jamani