mwenyeKitu
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 946
- 771
Vp mbna kama unataka kuanzisha bifu za ukabilaSikatai kuwa jo ni mkongwe ila media hasa zile zinazokaliwa na watangazaji wachaga wamekuwa wakilazimisha kutuaminisha kuw joh ni mkali kuliko wengine kitu ambacho sio kweli yaan joh huwa anahit hata akiimba ujinga tofauti na marapa wakali kama fid q au roma wanatoa nyimbo kali ila huwa zinabaniwa ila joh anapewa promo sana kuliko uwezo wake jamani
Dogo naye kaanza maneno ya kwenye kanga!
Ni mtu mmoja mshkaji wangu hata mimi zamani walikuwa wananichanganya hivyo hivyo.Yaani kuna wasanii nawachanganya kweli..dogo daresalama ...dogo janja ....young D...young killer... Ni watu tofauti au ?
Hebu zitaje hizo media.Sikatai kuwa jo ni mkongwe ila media hasa zile zinazokaliwa na watangazaji wachaga wamekuwa wakilazimisha kutuaminisha kuw joh ni mkali kuliko wengine kitu ambacho sio kweli
Nakumbuka shows za metropole, crestal club na ukumbi wa B.O.TAtafute kwanza joh alikuwa anaitwa nani kabla ya kuitwa joh makini. Kaanza kuimba akiwa mdogo kuliko DOGO janja. Kipindi hicho miaka ya 90's akiitwa rapture.(rapcha)
Hebu nitajie wimbo mmoja wa joh ambao ni wakijinga kabisa lakini umepewa promo na hao watangazaji wachaga ambao naamini ndio pekee wanatangaza vituo vyote hapa TanzaniaSikatai kuwa jo ni mkongwe ila media hasa zile zinazokaliwa na watangazaji wachaga wamekuwa wakilazimisha kutuaminisha kuw joh ni mkali kuliko wengine kitu ambacho sio kweli yaan joh huwa anahit hata akiimba ujinga tofauti na marapa wakali kama fid q au roma wanatoa nyimbo kali ila huwa zinabaniwa ila joh anapewa promo sana kuliko uwezo wake jamani
Huu ni mtindo wa kipuuzi sana ambao unafanywa na wabana pua..sijui umeanza lini na huku kwenye watu na akili zao..Ukitoa ngoma isipo-hit we jenga skendo watakujua.
Cafe Chinese, mawingu, beach parties Duluti, yaan daaa kitambo sana asee kbsaa.... Alaf jamaa anakwambia Job anabebwa??? HahahahahNakumbuka shows za metropole, crestal club na ukumbi wa B.O.T
"rapcha nimezuka kipazani"