Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,368
- 7,935
Huyo Mbona tuna mumunya nae Sana kete yenye miksa ya jani Korofi!!
Aisee, Tumuombee Mbuzi na Hizi safari za South mbona hazikati?Huyo Mbona tuna mumunya nae Sana kete yenye miksa ya jani Korofi!!
Nasikia wanamuiga Mangwair MkuuKapoteza ule muonekano wake wa kisanii, kawa na sura ya teja kabisa, hawa vijana tatizo kuigaiga tu kila kitu
Huyo kijana kama angekuwa na maradhi ya Sickle cell asingetoboa mpaka age aliyopo hivi sasa. Kwani ana umri gani?! Labda awe ni Carrier wa Sickle cell na Carrier wengi huwa ni wanawakeAnaumwa sickle cell
Huyo kijana kama angekuwa na maradhi ya Sickle cell asingetoboa mpaka age aliyopo hivi sasa. Kwani ana umri gani?! Labda awe ni Carrier wa Sickle cell na Carrier wengi huwa ni w
Kuna watu ninawafahamu wana sickle cell .Wana miaka 46 sasa hivi.Ni kweli na Young Lunya ni 25+ kama ni sicke cell asingetoboa hapo
Mbona Mwana fa anaishi poa tuHuyo kijana kama angekuwa na maradhi ya Sickle cell asingetoboa mpaka age aliyopo hivi sasa. Kwani ana umri gani?! Labda awe ni Carrier wa Sickle cell na Carrier wengi huwa ni wanawake
Kwani nae yupo nayo gonjwaMbona Mwana fa anaishi poa tu
Handsome boy usie na matunzo au vp chiefYoung Killer Msodoooki Mimi sinaga swaga Kabisa
NdioKwani nae yupo nayo gonjwa
Sasa kama kaka yake Babuu wa Kitaa anavuta unategemea nayeye asitumie
🤣🤣🤣🤣 Daaah🙌🙌Anaumwa sickle cell
Ndumu dogo kaianzaga kwenye kuondoka stres za maisha Kule kiwalani. Huyu dogo ni mtoto wa msanga Kule , ukoo wake ni Lunyalile.Huyu kijana ndumu 100% toka kitambo,ila kama kaanza na sembe tena,ni hasara.
Upo collect mkuu kama unavyofahamuCountryboy, Babu Wa kitaa na Lunya ni ndugu? Maana nilijua countryboy na babu wa kitaa ndio ndugu