Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na huu ndio mtego unaowadumbukiza kwenye unga bila kujua stimu atakayoisikia siku hyo bangi haitamfaa tena atataka tena na tena akija kushtuka uteja huu hpaKama anavuta ganja awe makini wasije wakampa kijiti chenye ngada.
Kama na huyu nae ameanza kutumia itakuwa sasa hao ma young wote ni wabwia unga japo hiyo picha sioni utofauti na tangu nilivyokuwa namuonaKwa wasiomfahamu, Young Lunya Ni Moja ya Rappers wenye flow kali hapa Bongo inayoambatana na unyamwezi mwingi.
Going to the point, Muonekano wa Young Lunya hivi karibuni umekuwa wa kutia Mashaka, Huenda Msanii huyu ana chembechembe za utumiaji wa madawa kutokana na kupoteza muonekano wake wa kijana . Yaani ni kama sura ya uteja inamnyemelea.
Ushauri kama mdau mwenye uzoefu , Jamaa atafute sober house mapema kabla gari halijawaka. Yasije yakatokea kama Ya Chidbenz wadau kama Kalapina walipotutonya kuwa mwana anatumia madawa enzi hizo Chid benz amenawiri kweli, watu wakamjia juu Kalapina kuwa anapotosha,
Ila gari lilipowaka hamna aliyeweza kulizima mpaka leo.
Ni Hayo tu, Anyways Kuna Battle mpya mjini ya Hiphop kati ya msodoki na Lunya🔥
Pombe imeingiaje hapo brokama anaumwa huo ugonjwa basi ajiepushe sana na pombe, bangi na unga
zama maktaba kafungue vitabuPombe imeingiaje hapo bro
Tuhurumie mkuuzama maktaba kafungue vitabu
Nilisikiaga mtoto mwenye sickle cell akitoboa miaka 12 anaendelea fresh tu japo kuumwa umwa hapa na pale hakuishi... prodigy wa mobb deep alifikisha miaka 40 na sickle cellHuyo kijana kama angekuwa na maradhi ya Sickle cell asingetoboa mpaka age aliyopo hivi sasa. Kwani ana umri gani?! Labda awe ni Carrier wa Sickle cell na Carrier wengi huwa ni wanawake
Isipo kuua utotoni, life linaendelea tu.. au labda zina tofautiana ukali?Kuna watu ninawafahamu wana sickle cell .Wana miaka 46 sasa hivi.
Ww lazima una over 50 na mtoto wq mjini sanaNilisikiaga mtoto mwenye sickle cell akitoboa miaka 12 anaendelea fresh tu japo kuumwa umwa hapa na pale hakuishi... prodigy wa mobb deep alifikisha miaka 40 na sickle cell
Hahaa.. mi babu ila 50 bado bado mazeeWw lazima una over 50 na mtoto wq mjini sana
Cc Laki Si PesaHayo mashavu ni ya mnywaji gongo kabisa.
🌈?Hayo mashavu ni ya mnywaji gongo kabisa.
Sio kweli kuna wana wengi tuu wana sickle sell wanatoboa above 25 na zaidi...Huyo kijana kama angekuwa na maradhi ya Sickle cell asingetoboa mpaka age aliyopo hivi sasa. Kwani ana umri gani?! Labda awe ni Carrier wa Sickle cell na Carrier wengi huwa ni wanawake