Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,228
- 2,064
Wanafamilia habari zenu. Matumaini yangu ni wazima wa afya na mnaendelea na shughuli zenu za kila siku.
Nikiwa nakaribia kwenda shambani kwani kuvuna cashewnuts nikaona sio dhambi kujaribu ku share na nyinyi hizi taarifa. Ontario amewahi kusema"If you're on rise towards success don't leave other behind, it can be boaring being alone up there".
Kumezuka malalamiko kadhaa kutoka kwa employees wengi kuwa serikali haitaki kuwaongeza mshahara na increments zao. Ni kweli ni haki yao kupata hizo stahiki lakini huwezi kumlazimisha mwajiri/boss wako kukulipa kama unavyotaka wewe.
Employers wengi wanakulipa kidogo ili kesho uende tena kazini wanajuwa wakilipa fedha nyingi unaweza Kudrop kazi. Hivyo ili Kuobey all the rules lazima waajiri wahakikishe their employees hawana financial freedom.
That way si ajabu leo kusikia kauli hizi "Sipandishi mishahara na sitopandisha", "Sikuahidi kupandisha mishahara", "Kama unaona mshahara haukotoshi nenda ukalime".
Hizi ni baadhi ya kauli kutoka kwa waajiri wetu. The Nobel prize winning physist Albert Einsten, The best thinker who ever lives aliwahi kusema "Think is hard work, that's way few people do it". Kauli hizi kutoka kwa waajiri wetu nadhani zinaweza kuwa chachu ya kutupeleka financial freedom.
Author Robert Kiyosaki mwandishi wa kitabu cha cashflow quadrant na rich dad and poor dad katika moja ya nakala zake inasema "Your boss' job is not to make you rich, your boss' job is to make sure you get your paycheck. It is your job to become rich if you want to. And that job begins the moment you you receive your paycheck. If you have poor money management skills, then all the money in the world cannot save you".
Kauli hizi za maboss zetu ziwe kama catalyst za kujiongezea kipato apart from our paycheck.
Forget your enemy but don't forget their name.
Nikiwa nakaribia kwenda shambani kwani kuvuna cashewnuts nikaona sio dhambi kujaribu ku share na nyinyi hizi taarifa. Ontario amewahi kusema"If you're on rise towards success don't leave other behind, it can be boaring being alone up there".
Kumezuka malalamiko kadhaa kutoka kwa employees wengi kuwa serikali haitaki kuwaongeza mshahara na increments zao. Ni kweli ni haki yao kupata hizo stahiki lakini huwezi kumlazimisha mwajiri/boss wako kukulipa kama unavyotaka wewe.
Employers wengi wanakulipa kidogo ili kesho uende tena kazini wanajuwa wakilipa fedha nyingi unaweza Kudrop kazi. Hivyo ili Kuobey all the rules lazima waajiri wahakikishe their employees hawana financial freedom.
That way si ajabu leo kusikia kauli hizi "Sipandishi mishahara na sitopandisha", "Sikuahidi kupandisha mishahara", "Kama unaona mshahara haukotoshi nenda ukalime".
Hizi ni baadhi ya kauli kutoka kwa waajiri wetu. The Nobel prize winning physist Albert Einsten, The best thinker who ever lives aliwahi kusema "Think is hard work, that's way few people do it". Kauli hizi kutoka kwa waajiri wetu nadhani zinaweza kuwa chachu ya kutupeleka financial freedom.
Author Robert Kiyosaki mwandishi wa kitabu cha cashflow quadrant na rich dad and poor dad katika moja ya nakala zake inasema "Your boss' job is not to make you rich, your boss' job is to make sure you get your paycheck. It is your job to become rich if you want to. And that job begins the moment you you receive your paycheck. If you have poor money management skills, then all the money in the world cannot save you".
Kauli hizi za maboss zetu ziwe kama catalyst za kujiongezea kipato apart from our paycheck.
Forget your enemy but don't forget their name.