Your first love story/first time to approach

Your first love story/first time to approach

Nayokumbuka ni ile ya chuo,japo zilishatokea secondary lakini hii ya first year chuo ndio iko akilini hadi sasa

Nakumbuka mimi ndio nilianza kuchukua namba yake kwa group discussion baada ya kuona ana 'materials' / 'notes' za kila somo,nilikuwa napenda sana shule enzi zile

Nikaanza kuwasiliana nae kwa simu,kitu kizuri zaidi ni kwamba tulijikuta mimi na yeye tunafanana katika baadhi ya mambo kama kuna somo fulani tulipenda wote sanaaaaa,starehe zetu zilikuwa sawa,vyakula!!!badae nikagundua hata ngono tunaipenda kwa kiwango sawa teh!!

Kimsingi kabla hajaniambia tayari nilikuwa nimeshampenda,ni vile tu siwezi kumuanza kumwambia mwanaume nampenda so ilibidi nisubiri aanze

Ikafika siku akaniambia,alivyoniambia nikamzungusha weeeeee as if simtaki eti

Nikamkubali...badae nikaachwa 🤗🤗🤗
😂😂😂
 
Dooh nimemkumbuka huyu binti kigori , macho ya gololi na guu la bia, mweupee daah.

Tulikua tunaandikiana Sana barua na tukitakakukutana basi tunakutana nyumbani kwa rafiki yake maana kwao mzee wake alikua mkali sana halafu mjeshi.

Mwaka uliopita tulikutana mahali ila yeye ndio aliyetangulia kuniona nikasikia tu ile sauti yake taamu ikiniita kugeuka namuona aliyewahi kuwa sabuni yangu ya roho akitabasamu lakini tabasamu lake limepungua makali yake kutokana na umri.

Tulizungumza machache kubadilishana mawasiliano na kuagana.

Huyu binti huyu, daah. Nakumbuka tu namna alivyokuwa akiniimbia huku nimemkumbatia kabla ya kuagana.
 
😁mmeacha kutoa eksipiriensi zenu za kutongoza na kutongozwa kwa mara ya kwanza mmegeukia kusemeana kwa baba yenu...😁😂✌🏽🚶🚶🚶
 
[emoji23][emoji23] Sawa naona mzee umeamua kumwaga mboga mi simwagi ugali isipokuwa tu ukiletewa mimba zisizo na baba hapo ndo utajua Kuna mtu alimwaga na ugali!!.. Sasa jitie udemokrasia uje uone mambo yanavyokugeukia..[emoji23]
Hakuna Mimba isiyo na Baba, wapo wanakimbia majukumu, hivyo ajiandae kulea wajukuu, wakishakua wakubwa na maisha ya kuridhisha Baba zao hujitokeza
 
Ingekuwa vyema Kama usiku huu ningekuwa karibu nawe nikiusabahi mwili wako mzuri kwa miguso chokozi huku ukideka na kuvunga hutaki uchokozi wa fundi maridadi.. nawe ukijiviringisha kama kupenda uchokozi huku ukilegeza tumacho twako kimahaba..😜

Kaubaridi kananione na tu mbu tunanikera sweetie.. usione haya ukaninyima joto lako lenye tashtwitwi na nakshi zenye kumtoa nyoka pangoni..😍😜

Naomba niishie hapo..
 
Nayokumbuka ni ile ya chuo,japo zilishatokea secondary lakini hii ya first year chuo ndio iko akilini hadi sasa

Nakumbuka mimi ndio nilianza kuchukua namba yake kwa group discussion baada ya kuona ana 'materials' / 'notes' za kila somo,nilikuwa napenda sana shule enzi zile

Nikaanza kuwasiliana nae kwa simu,kitu kizuri zaidi ni kwamba tulijikuta mimi na yeye tunafanana katika baadhi ya mambo kama kuna somo fulani tulipenda wote sanaaaaa,starehe zetu zilikuwa sawa,vyakula!!!badae nikagundua hata ngono tunaipenda kwa kiwango sawa teh!!

Kimsingi kabla hajaniambia tayari nilikuwa nimeshampenda,ni vile tu siwezi kumuanza kumwambia mwanaume nampenda so ilibidi nisubiri aanze

Ikafika siku akaniambia,alivyoniambia nikamzungusha weeeeee as if simtaki eti

Nikamkubali...badae nikaachwa [emoji847][emoji847][emoji847]
Hahahaha
 
Ingekuwa vyema Kama usiku huu ningekuwa karibu nawe nikiusabahi mwili wako mzuri kwa miguso chokozi huku ukideka na kuvunga hutaki uchokozi wa fundi maridadi.. nawe ukijiviringisha kama kupenda uchokozi huku ukilegeza tumacho twako kimahaba..😜

Kaubaridi kananione na tu mbu tunanikera sweetie.. usione haya ukaninyima joto lako lenye tashtwitwi na nakshi zenye kumtoa nyoka pangoni..😍😜

Naomba niishie hapo..
daah 😂😂una voco balaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nayokumbuka ni ile ya chuo,japo zilishatokea secondary lakini hii ya first year chuo ndio iko akilini hadi sasa

Nakumbuka mimi ndio nilianza kuchukua namba yake kwa group discussion baada ya kuona ana 'materials' / 'notes' za kila somo,nilikuwa napenda sana shule enzi zile

Nikaanza kuwasiliana nae kwa simu,kitu kizuri zaidi ni kwamba tulijikuta mimi na yeye tunafanana katika baadhi ya mambo kama kuna somo fulani tulipenda wote sanaaaaa,starehe zetu zilikuwa sawa,vyakula!!!badae nikagundua hata ngono tunaipenda kwa kiwango sawa teh!!

Kimsingi kabla hajaniambia tayari nilikuwa nimeshampenda,ni vile tu siwezi kumuanza kumwambia mwanaume nampenda so ilibidi nisubiri aanze

Ikafika siku akaniambia,alivyoniambia nikamzungusha weeeeee as if simtaki eti

Nikamkubali...badae nikaachwa [emoji847][emoji847][emoji847]
Aahaha[emoji28]
 
Bahati hutokea kwa mara moja tu.

Nilijua nampenda na ananipenda sana ingawa mawazo yake ya kuoana ama kuishi pamoja kwangu hayakuako.

Baada ya yeye kumaliza chuo alisisitiza kuwaona wazazi lakini haikua bado akilini sawasawa.

Sasa ana watoto wawili, mie bado namtafuta kama yeye walau kwa sifa na tabia.

Yeye anaishi akilini/moyoni daima.
 
Bahati hutokea kwa mara moja tu.

Nilijua nampenda na ananipenda sana ingawa mawazo yake ya kuoana ama kuishi pamoja kwangu hayakuako.

Baada ya yeye kumaliza chuo alisisitiza kuwaona wazazi lakini haikua bado akilini sawasawa.

Sasa ana watoto wawili, me bado namtafuta yule ambaye walau atamkaribia kwa sifa zake na tabia.

Yeye anaishi akilini/moyoni daima.
That is Love [emoji17][emoji17][emoji17]
 
Back
Top Bottom