You're Discriminatory, NHC Tenants Protest... Tanzanian of Asian descent are Unhappy with NHC

You're Discriminatory, NHC Tenants Protest... Tanzanian of Asian descent are Unhappy with NHC

Sabodo si wa kulaumiwa bali Sheria zetu. Kuulizana asili ni ubaguzi ambao tumekuwa tukiupinga miaka yote. Kwa sheria zetu, mtu kuwa na asili ya asia haimfanyi awe nusu mtanzania, na mwenye asili ya umatumbi kuwa ndio mtanzania kamili. Nasema ilaumiwe sheria kwa kuruhusu kuunda vitabaka vya watanzania. Leo 'mhindi' akipata uraia ataenda kuoa/kuolewa India na mhindi huyo wa kitanzania atakuwa na haki ya kumuombea uraia mme/mke wake huyo. Hapo tayari wahindi wawili wenye 'karatasi' za utanzania wanapata stahili zote za mtanzania. Mmatumbi ambaye kwa bahati mbaya hana hata kijikaratasi cha kuutetea utanzania wake anabaki kulalamika.

Ningekuwa mie ndo nina madaraka katika hili, utanzania wa mtindo huu ningeukataa. Bora nitoe muitacho permanent residence na sio uraia kwa watu wa jinsi hii. Tunakwisha as a country tukitazama! Tuzirejeree sheria zetu za uraia.
 
Mleta mada ameleta matapishi na mie najisikia kichefuchefu anadai eti nyumba za NHC zimejengwa kwa pesa za wavuja jasho eti zile nyumba za mitaa ya India street, zanaki na city center kwa ujumla na maeneo ya upanga zile nyumba zilijengwa kwa pesa za wavuja jasho? I am out

wewe mhindi masalia tu, hata kama Nyerere alizitaifisha kutoka kwenu ndo unataka muishi bureeee. hakuna ukoloni tz ngojeni serikali makini zije madarakani mtatafuta mlango ulipo
 
Mleta mada ameleta matapishi na mie najisikia kichefuchefu anadai eti nyumba za NHC zimejengwa kwa pesa za wavuja jasho eti zile nyumba za mitaa ya India street, zanaki na city center kwa ujumla na maeneo ya upanga zile nyumba zilijengwa kwa pesa za wavuja jasho? I am out


hata kama zamani zilikuwa za wahindi hizo nyumba walizipata kutokana na jasho la mtanzania wakati wa ukoloni. ukweli ndio huo kaka Mudi. tunataka wahindi pia waje waishi Kimara, Chanika na Kinyerezi sio wakae sehemu ambazo huduma za maji ni za uhakika. naamini tutawang'oa tuuu
 
Hamkumbuki hizo nyumba zilikuwa za wahindi?

Serikali ina Sura mbili ... Nyumba nzuri za wahindi na wazungu zilizotaifishwa huko Oysterbay wamegawana

Majengo ya kima cha chini maeneo ya Upanga wameyakumbatia na sasa wanataka kuwacharge bei kubwa Wahindi

Shame on CCM
 
Serikali iweke vigezo itakayovizingatia kugawa Nyumba zake ili kila mtu apate. Tatizo ni kwamba nyumba NHC imekuwa kama mali ya wahindi tu, kiasi kwamba watu wengine ukipata hizo nyumba unaonekana kama mgeni. .

Mkuu kwa heshima na taadhima naomba nikusahihishe nyumba nyingi za maeneo mazuri uliyoyataja wewe za NHC ni nyumba zilizotaifishwa wakati wa ujamaa na wengi wa waliotaifishwa nyumba hizo ni wahindi na waarabu kuna baadhi walipewa haki zao za kuishi kwenye nyumba hizo mfano ni muhindi ambae anakesi na NHC kwa kutupiwa vitu nje na kubomolewa nyumba ambayo NHC wameingia JV na wafanya biashara. Muhindi yule ndie mwenye nyaraka zote za nyumba ile na alidhulumiwa na serikali leo anatupiwa vitu nje akawe mgeni wa nani? alijenga hapa Tanzania kwa kujua ni mtanzania leo ukisema yeye ni muhindi au hawa wahindi wasikae pale hamuoni mnakosea? je hao wahindi wasingejenga nyumba hizo wakajenga (kwao) kama kweli wanapo huko kwao leo tungepoteza muda kuandika pumba kama hizo za bold nyekundu? Samahani Mjumbe wa Baraza Kuu Taifa - Chadema hopeful hayo uliyoyaandika ni mawazo yako na hayafungamani na chama.

Mheshimiwa mjumbe wa baraza kuu niende mbali kidogo nadhani unatokea kaskazini hivi kwenye ule mji wa Arusha na Moshi hasa maeneo wanayokaa wahindi kwenye zile nyumba zimejengwa na serikali mwaka gani vile?

Ahsante sana nangoja majibu yako.
 
wewe mhindi masalia tu, hata kama Nyerere alizitaifisha kutoka kwenu ndo unataka muishi bureeee. hakuna ukoloni tz ngojeni serikali makini zije madarakani mtatafuta mlango ulipo

Una maana serikali yetu makini ikishinda wasukuma wanaoishi Arusha watatolewa pima na kupokwa haki zao ili wapewe wachagga? itatisha sana mkuu.
 
wewe mhindi masalia tu, hata kama Nyerere alizitaifisha kutoka kwenu ndo unataka muishi bureeee. hakuna ukoloni tz ngojeni serikali makini zije madarakani mtatafuta mlango ulipo

Kwani wewe chama chako kina hubiri haki au dhulma? inaonyesha hao watakao ingia wakiwa wengi ni wakristo watawaamrisha waislam waingie makanisani na wale nguruwe siamini nina amini kuwa watafuata haki na serikali inayofuata haki ndio serikali makini.
 
Una maana serikali yetu makini ikishinda wasukuma wanaoishi Arusha watatolewa pima na kupokwa haki zao ili wapewe wachagga? itatisha sana mkuu.

Halafu itaangalia wizara kuna wizara watasema ni yao na kuwafukuza wale wote wasio toka wanakotoka wao! mie siamini kwani serikali makini kwangu mimi ni ile yenye kufuata misingi ya haki na naamini hao anaowasema watafuata haki unless wawe wana agenta yao tofauti na wanayoihubiri.
 
hakuna asiyetaka kukaa katikati ya jiji, Kina Sabodo na wengine wa wenye asili ya Asia ni vigumu kwao kutawanyika na kuacha maeneo ya ibada ktkt ya miji. Mwalimu alitaifisha majumba yale ili kuondoa unyonge kwa makabwela. watawala wameshindwa miakja yote kutumia fursa hiyo kujenga majumba mengine. Tusiwaonee kina Sabodo wanalipa kodi. jengeni majumba zaidi msiwasakame.
 
Kwani wewe chama chako kina hubiri haki au dhulma? inaonyesha hao watakao ingia wakiwa wengi ni wakristo watawaamrisha waislam waingie makanisani na wale nguruwe siamini nina amini kuwa watafuata haki na serikali inayofuata haki ndio serikali makini.

Mkuu punguza mambo ya udini.
Mambo ya NHC yanahusiana vipi na Ukristo au Uslamu?
Haya mambo mkiya-entertain yatatupeleka pabaya!
 
Pana sheria Tz? Kungekuwa na sheria nchi hii basi Rostam, Chenge, Lowassa, Karamagi, Mramba, Manji,etc tungekuwa tumeshawasahau zamaaaani,
napingana na wwe mkuu.................ni kwamba sheria zipo ila theoretical
 
Wa-Tanzania wenye "ASILI ya ASIA" ni wabaguzi sana ... Amin alifanya vyema Uganda na hili la NHC limechelewa sana! At some stage lazima tugawane upya keki ya taifa...

SABODO ni mwizi tangia enzi za Mwalimu, lakini naona leo mnamsifia - no wonder hapa Tanzania wezi wanasifiwa sana!
 
Kuhusu swala la kuulizwa kabila lako mbona ni kawaida,mbona ukienda kuripoti tatizo polisi wanakuuliza kabila lako,kwa hilo naona hamlalamiki.
Suala la pili sisi wenyewe ndio tuna matatizo tena makubwa njaa inatusumbua,nyumba hizi nyingi walipewa wabongo kibao sasa tatizo la wabongo wanawauzia hawa wahindi,hela wanayopata wanaenda kujenga mbali na mji.mimi nimjua jamaa mmoja alikua anaishi katika flati fulani k/koo akavuliwa na mhindi kwa shilingi milioni 30,mhindi akaishi hapo na kodi ya NHC akawa analipa kama kawaida kwa hiyo tusilaumu NHC tujilaumu sisi wenyewe.
 
Mleta mada ameleta matapishi na mie najisikia kichefuchefu anadai eti nyumba za NHC zimejengwa kwa pesa za wavuja jasho eti zile nyumba za mitaa ya India street, zanaki na city center kwa ujumla na maeneo ya upanga zile nyumba zilijengwa kwa pesa za wavuja jasho? I am out

Walijenga wahindi, lakini kwa pesa ambazo waliliibia taifa.
 
Mkuu punguza mambo ya udini.
Mambo ya NHC yanahusiana vipi na Ukristo au Uslamu?
Haya mambo mkiya-entertain yatatupeleka pabaya!

Nimetolea mfano tu mkuu lakini ukitaka details tutakupa vile vile. Ni hiviii mwalimu alitaifisha nyumba zile ili kuwakata miguu jumuiya ya waislam ya afrika mashariki ambayo ilikuwa ukidhaminiwa na aga khani na wengi wa wenye nyumba zile walikuwa ni waislam wa jamii ya kiismailia wenye kufuata madhebu ya aga khani na walionekana ni imara kwenye uchumi na kujitawala zaidi na ndio maana ukienda mikoa mingi utakuta nyumba hizi zina stractures sawa sawa!

Nienende mbali kidogo wengi wetu wakati nyumba zile zinajengwa tulikuwa either sisi au wazee wetu walikuwa bado hawajaingia miji walikuwa wanakula furu na tulipoingia mijini tukazikuta hizi nyumba tukaona kama zimeota tu kama uyoga wa kule mashambani tunakotoka!

Binafsi mimi nimekulia kijijini nimelima na kuchunga ng'ombe nilipokuja mjini nikazikuta nyumba nikaambiwa story yake kwahiyo na nyie muijue pia.
 
Kuhusu swala la kuulizwa kabila lako mbona ni kawaida,mbona ukienda kuripoti tatizo polisi wanakuuliza kabila lako,kwa hilo naona hamlalamiki.
Suala la pili sisi wenyewe ndio tuna matatizo tena makubwa njaa inatusumbua,nyumba hizi nyingi walipewa wabongo kibao sasa tatizo la wabongo wanawauzia hawa wahindi,hela wanayopata wanaenda kujenga mbali na mji.mimi nimjua jamaa mmoja alikua anaishi katika flati fulani k/koo akavuliwa na mhindi kwa shilingi milioni 30,mhindi akaishi hapo na kodi ya NHC akawa analipa kama kawaida kwa hiyo tusilaumu NHC tujilaumu sisi wenyewe.
 
Walijenga wahindi, lakini kwa pesa ambazo waliliibia taifa.

Wahindi walijenga Tanzania hawakuenda kujenga India sasa sijui watanzania wanaiba kwanini hawajengi Tanzania au sio sie humu tunalalama kila siku kuna wevi baina yetu na wanajinufaisha kwa rasilimali zetu? refer kutoroshwa kwa wanyama KIA.
 
Nimetolea mfano tu mkuu lakini ukitaka details tutakupa vile vile. Ni hiviii mwalimu alitaifisha nyumba zile ili kuwakata miguu jumuiya ya waislam ya afrika mashariki ambayo ilikuwa ukidhaminiwa na aga khani na wengi wa wenye nyumba zile walikuwa ni waislam wa jamii ya kiismailia wenye kufuata madhebu ya aga khani na walionekana ni imara kwenye uchumi na kujitawala zaidi na ndio maana ukienda mikoa mingi utakuta nyumba hizi zina stractures sawa sawa!

Nienende mbali kidogo wengi wetu wakati nyumba zile zinajengwa tulikuwa either sisi au wazee wetu walikuwa bado hawajaingia miji walikuwa wanakula furu na tulipoingia mijini tukazikuta hizi nyumba tukaona kama zimeota tu kama uyoga wa kule mashambani tunakotoka!

Binafsi mimi nimekulia kijijini nimelima na kuchunga ng'ombe nilipokuja mjini nikazikuta nyumba nikaambiwa story yake kwahiyo na nyie muijue pia.

Hiyo nyekundu: Sidhani kama ina ukweli, kwani kule nilikokulia mimi kuna jamaa yeye alikuwa ni mchaga tena si muislamu. Pamoja na maduka na mali nyingine, pia alikuwa akimiliki matrekta aina ya Swaraj (za wakati huo) zaidi ya 30. Katika taifisha taifisha naye alikumbwa na hilo dhahama. Huo ni mfano mmoja tu lakini ipo mingi tu ya aina hiyo.

Hiyo blue: Kama aliyekwambia ni baba yako kwa mfano (mtu unayemuheshimu na kumwamini sana), huna budi kumwamini. Tena inategemea na "TONE" aliyotumia kukwambia hizo habari, whether ni true or not. Nadhani hicho ndicho kinachoku-drive hadi sasa. "Siwezi" kusema kuwa alikuathiri kisaikolojia katika hiyo stori.
 
Back
Top Bottom