Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Wahindi walijenga Tanzania hawakuenda kujenga India sasa sijui watanzania wanaiba kwanini hawajengi Tanzania au sio sie humu tunalalama kila siku kuna wevi baina yetu na wanajinufaisha kwa rasilimali zetu? refer kutoroshwa kwa wanyama KIA.
wahindi walijenga tanzania hawakuenda kujenga india sasa sijui watanzania wanaiba kwanini hawajengi tanzania au sio sie humu tunalalama kila siku kuna wevi baina yetu na wanajinufaisha kwa rasilimali zetu? Refer kutoroshwa kwa wanyama kia.
hii ni kweli mimi pia naishi ktk nyumba hizi mpya lakini utasikia wahindi wanakuuliza kama wewe ni Mganda/ Nigeria, nk. Ni aibu. Kwani NHC Haiwezi kutofautisha majina Barjberi na Mapunda? Nyumba zenyewe zinazoitwa JV bei ni mbaya mno. Mbaya sana wamewaachia Hao JV wao kuwatoza wapangaji kiasi cha $ 150 kwa mwezi kama pesa ya huduma kila mwezi mbali na kodi ya kila mwezi. M-tz gani wa kawaida anaweza? Sabodo JUUUUUUUUUSerikali iweke vigezo itakayovizingatia kugawa Nyumba zake ili kila mtu apate. Tatizo ni kwamba nyumba NHC imekuwa kama mali ya wahindi tu, kiasi kwamba watu wengine ukipata hizo nyumba unaonekana kama mgeni. .
wewe mhindi masalia tu, hata kama Nyerere alizitaifisha kutoka kwenu ndo unataka muishi bureeee. hakuna ukoloni tz ngojeni serikali makini zije madarakani mtatafuta mlango ulipo
Hicho kibabu Sabodo kiache unafiki hakika baniani ni baniani tu,mbona huyo Sabodo hatujawahi kumsikia kuwa watu tusije kipengele kinachotaka kujua rangi huko Mzizima na Shaban Robert secondary na pale Aghakhan hospitali,kwani hao baniani hawezi kuishi huku Madale,Kinyerezi ,Mbagala,manzese na wakajenga nyumba zao kwanini wana ng'ang'ania kwenye NHC,kwanza wao wanauwezo mkubwa kiuchumi na pia hizo jumuia zao zinawezesha tofauti na sisi wamatumbiKUNA USEMI ULIOENE MTAANI KWAMBA KWAMBA KUWA MTANZANIA MAANA YAKE USIFIKIRIE SANA MADUDU YANAYOFANYIKA HAPA KWETU ZAIDI UWE MTU WA KUPOTEZEA..... LKN WENGINE TUTAENDELEA KUSEMA YA MOYONI.
SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA HILI LA TANZANIA LINATUMIA FEDHA YA WAVUJA JASHO KUJENGA NYUMBA AMBAZO ILITAKIWA WAPANGISHWE NDUGU ZETU WENYE KIPATO CHA CHINI LKN BADALA YAKE NYUMBA HIZO WANAISHI WAGENI HASA ZILIZO MAENEO YA MJINI AU MAENEO MAZURI YA MIJI YETU KWA BIASHARA NA MAKAZI.
UKIJIULIZA NI KWANINI HUPATI JIBU, INABAKIA KARAHA YA HAWA WAHINDI KUTUTEMEA MATE NA KUTUMWAGIA MAJI MACHAFU WAKIWA HUKO JUU KWENYE MAGHOROFA YETU............ KWA KWELI TUNADHALILISHWA SANA!!!!!!!!!!
HIVI NYUMBA ZA NHC WALIJENGEWA WAHINDI TUUU????? ETI SABODO KAWAMBIA WASIJAZE ASILI YAO!!!!!!!YULE BOSI ALIYEMWAGA MAPESA WAKATI WA UCHAGUZI AMETEMA CHECHE KUHUSU WAO KUTOJAZA ZILE FOMU ZA NHC MJE MUONE SASA JINSI SERIKALI ILIVYOWEKWA MFUKONI NA WENYE NAZO......
"Tayari mfanyabiashara maarufu na kada wa CCM, Mustafa Sabodo alitoa matangazo kwenye vyombo vya habari akiwataka wapangaji wa NHC kutojaza dodoso zilizotolewa na shirika hilo kutokana na kile alichokiita kukosa uhalali wa kisheria kwa kuuliza maswali ambayo ni ya kibaguzi na kusisitiza: Hivyo msijaze hizo fomu sababu hawana haki ya kuuliza haya maswali.
UKILA YA MBUZI UTAOTA MAPEMBE...... MLIKULA ZA WAHINDI MTAOTA UHINDI
Wahindi walijenga nyumba kwenye viwanja vya nani? Mhindi wa Punjab kiwanja Dar-es-Salaam alipewa na nani?hata kama Nyerere alizitaifisha kutoka kwenu
Wa-Tanzania wenye "ASILI ya ASIA" ni wabaguzi sana ... Amin alifanya vyema Uganda na hili la NHC limechelewa sana! At some stage lazima tugawane upya keki ya taifa...
SABODO ni mwizi tangia enzi za Mwalimu, lakini naona leo mnamsifia - no wonder hapa Tanzania wezi wanasifiwa sana!