YouTube inalipa ila sio hapa Bongo

Mkuu, kwanza watu wana msemo humu ukiitwa kwenye fursa jua wewe ndio fursa. Una ukweli kwa 80% na hivyo kutokana na hilo ndio maana kuna watu wengi wanafahamu mambo ila wanakaa kimya wasije itwa matapeli.
Pia kama madarasa yapo mbona watu wanakutana kila mara yakiongozwa na baraka mafole watu wanakutana na kushare vitu huko. Mimi sijawahi kwenda ila nina appreciate baraka anachikifanya maana watu wameanza yamefanya toka 2014 ila baraka ndani ya miaka miwili ya harakati zake hizi kafanya wengi wajue kuhusu pesa mtandaoni.
So mkuu watu wajiunge huko kwenye magrup na kuhudhuria ma event.
Halafu mimi shida huwa sio mwalimu mzuri pia.
 
Hivi facebook si inalipa watengeneza contents siku hizi
 
Huko majuu nadhani, kibongobongo sina hakika.

Huko majuu mpaka Instagram reels wanalipa.
Maaana nakutana content nyingi za wahindi na wathai zina views za kutosha
 
Nahitaji kumiliki You Tube channel
 
Wahindi ukifanya nao kazi mtandaoni wanabana sana aisee wale halafu wezi wanawaibia hadi wahindi wenzao wanawafanyisha kazi halafu hawawalipi
Yes, Wahindi ni janja janja sana.
 
Mimi ni YouTuber pia...lakin natumia kingereza tu.

Uliyosema ni kweli...

Unahitaji elimu ya kutosha kuhusu Youtube kabla ya kuanzisha channel ya youtube...


All in all Kupata views nyingi ni kitu cha muhumu sana kabla ya yote
Voice over unatumia sauti yako au una-outsource?

Video editing software gani unatumia?
 
Mimi ni YouTuber pia...lakin natumia kingereza tu.

Uliyosema ni kweli...

Unahitaji elimu ya kutosha kuhusu Youtube kabla ya kuanzisha channel ya youtube...


All in all Kupata views nyingi ni kitu cha muhumu sana kabla ya yote
Kabisaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…