YouTube inalipa ila sio hapa Bongo

Ndio, kwa sababu wao tayari ni YouTube partner, na ni contents id manager.
 
Nimepitia jalalani nimejifunza vitu vichache ili utoboe youtube wanazingatia mambo mawili makuu demographic na content.
~ndugu joel nanauka ana silver youtube creator award (naona content hapa ndio imembeba)
~Nas daily bussiness (ukiwachimba kwa ndani kuna mengi ya kujifunza
~marketing knowledge and strategies ni muhimu

N.B:wabongo tunapuuza kusoma deep then tunategemea matokeo mazuri.
 
Ni kweli mkuu. Kuna mtu anaanzisha YouTube Channel hata policies hajasoma, yeye anachoangalia ni dola tu. Kwenye YouTube ukiwa contents creator mzuri halafu ukawa mbunifu, YouTube inakupaisha wala huwezi kufanya kazi nyingine.
 
Reactions: Sax
hatukujua ni muda wa wasomi kuanza kutengeneza mitandao yao
 
Inawezekana vipi kufanya hii biashara hapa bongo mkuu?
Ni businesses plans tu mkuu. Unaandaa proofs za uhakika, na records then unawasiliana na YouTube moja kwa moja. Hapo unaweza kuwaambia unataka kujiunga na YouTube's Contents Managing System (CMS). Nadhani hao ndio wanaweza wakakupa muongozo positively.
 
Sawa mkuu, ngoja niifanyie kazi
 
Naomba kuchangia,

Mtoa mada ameongea mengi na mazuri japo kuna mengne mengi katudanganya kidogo kwa sababu amekuja na kauli ya kuwa you tube Hailipi hapa bongo, ki uhalisia sio kweli kabisa kabisa na mimi nasema kuwa YOU TUBE INALIPA saana kulingana na utakavyoijua, utakavyoamua kuitumia na utakavyoifanyia setting zako.

I know kwa mnaoijua you tube juu kwa juu mtaamini kuwa hailipi sababu kupata $100 tu ni kasheshe kweli kama alivyosema mtoa mada, lakini sasa kama unaijua vyema na jinsi ya kucheza nayo utapiga hela swaafi kabisa.

mimi nimeanza mambo ya you tube nina miaka kama mi 4 tu na nimekuwa nikiuza sana chanela zangu pale inapotokea mtu akifika bei nzuri (sababu ya njaa) nadani ya hii miaka 4 nimeuza chanel zinazoingiza pesa zaidi ya 5, na sasa ninazo chanel 2 tu, moja inaingiza $ na haina haya mwaka bado na nyingne ipo pending sijaombea matangazo, hii nayotumia ina sub 5.8tu. lakini huwa naingiza mpaka $200+ kwa mwezi na hapa navyoandika sijaweka content nazaid ya miezi 3.
Nashahuri kufanya tafiti, kujifunza sana pale unapotaka kuingia katika industrial za Social Network.

mnaweza kuangalia accout yangu moo entertainmenttz hii accout inalipwa kuliko mwenye accout za sub30k.

hapa nime attach YT dashbod yangu ya leo kuona na hii ni 28day pekee

NB: nakuza pia accout zote za social Medi, instagram Tik tok, Facebook twiter na nyingnezo (tangazo baada ya maelezo na habari)
 

Attachments

  • Image 2023-02-21 at 9.03.41 AM.jpeg
    29.7 KB · Views: 37
Know that, you can't earn more kwa kutumia swahili contents. I used Bongo nikimaanisha swahili.
 
Acha kuwakatisha watu tamaa

Hakuna mtandao Kama YouTube katika malipo

Ukiwa na 400hrs
Na subscribe 1k unaanza kuchukua $200 at the first time

YouTube wanalipa vizuri Sana Tena sana
Wewe ni YouTuber ?
Au umeamua kuropoka , ili ufurahishe wajinga wenzako na uonekane unajua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…