heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwenye hiyo coment hakuna niliposema CPC.Acha Uongo, nina content za kiswahili na zinaingiza ela na video zote zina matangazo. Acha kukatisha watu tamaa.
YouTube sio kama Blog, Kwa Blogs sawa Content za Kiswahili haziruhusiwi kwenye monetization ya AdSemce ila Kwa YouTube hawana Limitation ya Lugha, Kwa YouTube labda useme Geographical Location na aina ya content ndo ina affect CPM, na Kwa YouTune hawalipi kwa CPC kama Blog bali YouTube wanalipa kwa CPM.
Acha Kuwachota watu kama huna uhakika wa jambo unalolisema Litafutie Tarifa zaidi kabla hujalieleza.
Unachokielezea kinakaribiana na ukweli lakini Umeweka Uongo mwingi kuliko ukweli. Mfano Kusema YouTube wanalipa kwa CPC nimefanya niamini Hujui unachokisema.
YOUTUBE kuna Ela ukijituma no mara where you are japo Biashara Ile ile inayofanyika Tanzania haiwezi ingiza Kipato sawa na biashara inayofanyika Marekani. The same to YouTube ya Bongo na YouTube ya Marekani
Hawa wakenya wanakula 30-40% ya gross income na wamesaidia kuboost YouTube channel za Wasafi, Barnaba na wengine na pia kuna watanzania walikuwa wanafanya kazi hapo wakaja kufungua kampuni kama Slide Digital na SmileSasa.Kaka, nimeona YouTube channel yako iko na Multi Channel Network (MTN), so iko managed na Ngomma Vas Ltd.
Hao wapo kwa ajili ya kusimamia kazi za wasanii na kuwaboost, but kuna parcents lazima uziache kwao!.
US wanasepa na 30%Pia waspain, ukifanya kazi na waspain wanaondoka na 24% ya mapato yako maana ndivyo sheria ya nchi yao inasema unless nchi yako iwe na makubaliano maalum ya kod na nchi yao
Kuna fomu una sign kama wewe hukai US hawakatiUS wanasepa na 30%
Kwa YouTube sijajua ila kwenye Distribution companies wanahold 30%Kuna fomu una sign kama wewe hukai US hawakati
Mimi kazi zote nazofanya na kampuni ya kimarekani huwa kuna fomu wananipa nijaze hawanikat hata sumniKwa YouTube sijajua ila kwenye Distribution companies wanahold 30%
Na vipi kwa zike channel za wildlife/wanyama ,imekaaje mkuu?Kaka wale wanapata pia matangazo ya nje.
Contents za kiswahili wastani ni kuanzia $0 hadi $1 kwa click moja.
Na sio kila video inapewa matangazo.
Tofauti na contents za kiingereza wastani ni kuanzia $1 kuendelea.
Si unaona hapo kwenye kiswahili utahitaji nguvu ya ziada ili uweze kupata pesa nyingi. Utahakikisha unapost contents kwa wingi ili mzunguko uende sawa.
Hebu niambie nifanyaje mkuu maana hawa distributors wanakata 30% ya mapato ya distribution aiseeMimi kazi zote nazofanya na kampuni ya kimarekani huwa kuna fomu wananipa nijaze hawanikat hata sumni
Mkuu mimi sijui we unafanya kazi gani mm kazi nazofanyaga nafanya na agenciws kama blend, welocalize, smartcat so hao mm huwa kila mwisho wa mwaka wananitumia fomu za kujaza sijui inaitwa f8 hata jina nmelisahauHebu niambie nifanyaje mkuu maana hawa distributors wanakata 30% ya mapato ya distribution aisee
Sasa hivi nimebase kwenye distribution na kampuni kama Songtradr, Tunecore na OneRpm mkuu.Mkuu mimi sijui we unafanya kazi gani mm kazi nazofanyaga nafanya na agenciws kama blend, welocalize, smartcat so hao mm huwa kila mwisho wa mwaka wananitumia fomu za kujaza sijui inaitwa f8 hata jina nmelisahau
Mkuu mimi nadhan mnagawana mapato labda ndio maana wao wanakata 30%. Sasa mimi nilichokuwa naongelea ilikuwa ni kodi.Sasa hivi nimebase kwenye distribution na kampuni kama Songtradr, Tunecore na OneRpm mkuu.
Mkuu mimi nadhan mnagawana mapato labda ndio maana wao wanakata 30%. Sasa mimi nilichokuwa naongelea ilikuwa ni kodi.
Jaribu kuwaomba wakupe W-form uijaze waitume IRISNi kodi mkuu, tena inakatwa kama withholding tax
Hiyo fomu bahati mbaya inataka mambo ya EIN ambayo huwa sina mkuuJaribu kuwaomba wakupe W-form uijaze waitume IRIS
W-8BEN wakupe hii.Hiyo fomu bahati mbaya inataka mambo ya EIN ambayo huwa sina mkuu
Kwani hizo agency unafanyaje nazo kazi ili wasikate kitu?W-8BEN wakupe hii.
Mkuu hizi form nazijaza kila mwisho wa mwaka na kila maybe nikianza fanya na agency mpya. Huwa najaza vitu vilivyo applicable kwangu visivyo applicable natia N/A
Wahindi wanazurula sana online.
Pia India, GB Moja, ni kama Tsh 200/- kwahiyo wako sana online.
Vile vile, India population yao ni kubwa sana.
Nafanya nazo kama freelancer/remote worker cost nazokumbana nazo ni za wire transfer tuKwani hizo agency unafanyaje nazo kazi ili wasikate kitu?