YouTube kuondoa Maudhui yanayosababisha taharuki kati ya Russia na Ukraine

YouTube kuondoa Maudhui yanayosababisha taharuki kati ya Russia na Ukraine

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
Mtandao wa YouTube unao milikiwa na Google umetoa tahadhari kwa wamiliki wa vituo vya YouTube watakao chapisha Maudhui yanayo Sababisha Taharuki Kati ya Russia na Ukraine.

Mtandao huo utaziondoa video zote zenye kuleta uchochezi kati ya nchi hizo mbili. Video hizo ni pamoja na video zilizo rekodiwa wakati wa matukio ya mashambulizi au vurugu zikionyesha unyanyasaji.

Hivyo kwa vituo vitakavyo pakia Maudhui hayo vitapewa onyo kama ni mara ya kwanza kukiuka sera hizo na vituo vitakavyo rudia kosa basi vutasitishwa kwa muda wa siku 7 hivyo havitaruhusiwa kupakia, kupakua au kutiririsha Maudhui ya Moja Kwa moja(luve streaming).

Pia athari nyingine kwa wamiliki wa vituo vya YouTube watakao kinzana na sera sera hizi ni kukosa Uchumaji mapato kutoka kwenye mtandao huo.

Imetolewa na kitengo cha sera za Jamii cha YouTube.
 
Putin oyee!! Wataalam wa hii maana yake ni nini!?
Putin oyeee wakati wamiliki wa vituo vya YouTube nchini Russia wamepata pigo tayari.

 
Putin oyeee wakati wamiliki wa vituo vya YouTube nchini Russia wamepata pigo tayari.

Sasa hiyo ya kuzuia monetization ni kwenu masikini bali siyo RT. Unadhani RT ni kama Diamond Plutnumz!?
 
Sasa hiyo ya kuzuia monetization ni kwenu masikini bali siyo RT. Unadhani RT ni kama Diamond Plutnumz!?
Kumbuka hata hao Google AdSense wanaingiza mkwanja mrefu hasa kwa wamiliki wa vituo vya YouTube wa mbele maana video zao zina audience kubwa hivyo na Matangazo yao yao huwafikia Watu wengi Sana Dunia.

Yaani hapo pigo lipo tu.
 
Sergey Brin mmoja ya waanzilishi na mmiliki mkuu Alphabet, parent company ya Google inayomiliki YouTube ana asili ya Russia, naona hataki Russia ichafuliwe!
Mkuu mbona hata Russia kafanya yake huyo mmliki.
 
FB_IMG_1646037365096.jpg
 
Kumbuka hata hao Google AdSense wanaingiza mkwanja mrefu hasa kwa wamiliki wa vituo vya YouTube wa mbele maana video zao zina audience kubwa hivyo na Matangazo yao yao huwafikia Watu wengi Sana Dunia.

Yaani hapo pigo lipo tu.
Wewe usifananisha RT na watu wa manzese kwa tumbo. Unadhani RT ni sawa na Zuchu 😂😂😂
26768.png
 
Wewe usifananisha RT na watu wa manzese kwa tumbo. Unadhani RT ni sawa na Zuchu 😂😂😂
View attachment 2133885
Sijakataa ila hapo pigo wamepata wamiliki wachanga wa YouTube walio jiwekeza japo Russia ipo vizuri.

Na Kumbuka kwa sasa Russia inawekewa kila Aina ya vikwazo.
 
Sijakataa ila hapo pigo wamepata wamiliki wachanga wa YouTube walio jiwekeza japo Russia ipo vizuri.

Na Kumbuka kwa sasa Russia inawekewa kila Aina ya vikwazo.
Mzee unaijua Russia au unaisikia tu. Russia is a very strong country. Kila kitu wanafanya chao. Ulaya yote wanaitegemea Russia. Ni mpumbavu tu anayeweza kuachana na Russia.

Hivi nikuulize, kwanini issue SWIFT disconnection imeshindikana.

Vikwazo wataviongea tu lakini utekelezaji wake ni hakuna.

Germany inategemea Gas kutoka Russia kupitia Nord Stream. Na ndani ya hiyo project nchi zilizowekeza ni pamoja na Russia, Germany, France, Italy, China nk.
Usichukulie vitu rahisi hivyo.

Ndio maana Putin yupo home anakula bata tu.
 
Mzee unaijua Russia au unaisikia tu. Russia is a very strong country. Kila kitu wanafanya chao. Ulaya yote wanaitegemea Russia. Ni mpumbavu tu anayeweza kuachana na Russia.

Hivi nikuulize, kwanini issue SWIFT disconnection imeshindikana.

Vikwazo wataviongea tu lakini utekelezaji wake ni hakuna.

Germany inategemea Gas kutoka Russia kupitia Nord Stream. Na ndani ya hiyo project nchi zilizowekeza ni pamoja na Russia, Germany, France, Italy, China nk.
Usichukulie vitu rahisi hivyo.

Ndio maana Putin yupo home anakula bata tu.
Sikatai lakini kuna side effects.

Kwa mfano athari nyingine zitatokea kwa watu wa mataifa mengine waishio Urusi. Mfano swala la utumaji pesa kimataifa, mataifa yakiweka vikwazo hivyo hutopokea au kutuma pesa kutoka Urusi kwenda nchi nyingine au kupokea ukiwa Urusi.

Sasa imagine una mtoto yupo Urusi pesa atapataje? Hivyo vikwazo vya kuogopa Sana huenda muathirika wa moja kwa moja hatokuwa Russia ila wapo wengine wengi.
 
Sikatai lakini kuna side effects.

Kwa mfano athari nyingine zitatokea kwa watu wa mataifa mengine waishio Urusi. Mfano swala la utumaji pesa kimataifa, mataifa yakiweka vikwazo hivyo hutopokea au kutuma pesa kutoka Urusi kwenda nchi nyingine au kupokea ukiwa Urusi.

Sasa imagine una mtoto yupo Urusi pesa atapataje? Hivyo vikwazo vya kuogopa Sana huenda muathirika wa moja kwa moja hatokuwa Russia ila wapo wengine wengi.
Wewe mzee unaangalia vitu katika picha ndogo sana mzee. You are too local. Try to be international.

Pesa ya kutumia mtoto siyo target kwenye international economic war. Lengo la Marekani ni kupunguzia Russua influence in Europe. Lakini mpaka sasa marekani ameshachelewa Russua ipo na influence kubwa sana huko ulaya.

Isssue ya SWIFT ni ngumu mno ni sawa na kujipiga kidole mwenyewe machoni.

Nakushauri hebu fuatilia makampuni makubwa ya Uranium, Mafuta na Gas duniani.

Hapa Tanzania wanaochimba Uranium ni Uranium one. Kampuni kutoka Russia.
Silaha zetu za kivita 96% from Russia.

Don't say kitu usichokijua.
 
Waukraine wanarusha picha za mateka wa vita
Hii mbaya Mimi nina nina kituo cha YouTube nilirusha ndege tu zikiingia Ukraine na kusindikiza kicha cha habari.

"Ndege za Russia zivamia Ukraine"

Dah wameiondoa na kunipa onyo kwa vile ni mara Yangu ya kwanza hivyo haijaniathiri kivile.
 
Back
Top Bottom