Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
- Thread starter
- #41
Mwanzo niliona Mtu fulani una akili kumbe una ushabiki Tu hata Millard Ayo nimekuambia amesema ni taarifa kutoka benk kuu ya nchi unayo leta ushabiki baada ya kujiridhisha unajiona much know.Mzee unaniletea international news kutoka kwa Milard Ayo!!? Are you stupid or something!? Nimekuwambia you are too local try to be international.
Zaidi sana utaendelea na u mbumbumbu wako. Huyo Millard Ayo kapata wapi hiyo taarifa!? Anakijua ki Russia!?
Hapo mdau kareta vyanzo vinavyo aminika umesepa.
Ndio nimejua kuwa hujui kitu.