Mwanzo niliona Mtu fulani una akili kumbe una ushabiki Tu hata Millard Ayo nimekuambia amesema ni taarifa kutoka benk kuu ya nchi unayo leta ushabiki baada ya kujiridhisha unajiona much know.Mzee unaniletea international news kutoka kwa Milard Ayo!!? Are you stupid or something!? Nimekuwambia you are too local try to be international.
Zaidi sana utaendelea na u mbumbumbu wako. Huyo Millard Ayo kapata wapi hiyo taarifa!? Anakijua ki Russia!?
Kigezo cha kusema anakijua kirussia naona still upo locally na wewe.Mzee unaniletea international news kutoka kwa Milard Ayo!!? Are you stupid or something!? Nimekuwambia you are too local try to be international.
Zaidi sana utaendelea na u mbumbumbu wako. Huyo Millard Ayo kapata wapi hiyo taarifa!? Anakijua ki Russia!?
unge badili kichwa cha habari Putin akalia kuti kavu! adi sasa hakuna picha mpya au vita vimesimamaHii mbaya Mimi nina nina kituo cha YouTube nilirusha ndege tu zikiingia Ukraine na kusindikiza kicha cha habari.
"Ndege za Russia zivamia Ukraine"
Dah wameiondoa na kunipa onyo kwa vile ni mara Yangu ya kwanza hivyo haijaniathiri kivile.