Vito Corleone
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,418
- 5,257
Ila tumetoka mbali..unakumbuka zilikuwepo chupi za mtumba na watu walikuwa wanatinga!!!!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi sasa zipo hasa Manzese 😂Ila tumetoka mbali..unakumbuka zilikuwepo chupi za mtumba na watu walikuwa wanatinga!!!!?
Majiko ya China, mobile phone, electonics nyingi tu zinalipuka. Viatu vya China baada ya siku mbili soli inatoka.Tatizo siyo kupinga. Tatizo ni uzalishaji, bei za bidhaa hizo na umasikini. Ndiyo inafanya nguo za mitumba hazina soko.
Uzalishaji ukiwa mkubwa watu hawatangaika na mitumba. Na pia maisha ya watu yakiboreshwa (kupunguza umasikini).
Hapa Tanzania kuna majiko ya gesi na umeme lkn kuna watu bado wanatumia mkaa na kuni. Unafikiri kwa nini?
Mtu na pesa zako unaweza kununua mtumba?
Ndio soko kubwa la mitumba Afrika lipo huko Ghana, Nigeria.Hao Africa Magharibi hayo mavazi wanavaa kwe occasions tu.Ila Mitumba kule ipo.
Yep ajira kwenye hivyo viwanda vya uzalishaji.Ni idea nzuri.
Lakini kabla hatajaiga walichofanya ni busara kama tutahakikisha tunazalisha nguo za kutosha na zinazo kidhi mahitaji ya makundi yote ya watanzania.
Huo uzalishaji kwa sasa haupo.
Inabidi tuwapatie wauza mitumba alternative endapo tutakataza mitumba.
Wengine hapa, wanaongea kishabiki tu! Wakati nakua mimi, kukutana na mtoto mwenzio matako nje, lilikuwa ni jambo la kawaida tu. Leo hii mama, anaenda mitumbani na 5,000/= tu, anakuja na nguo za watoto 6.Ila mitumba inavalisha watu wengi xnaa na pia kutoa ajira kwa vijana wengi mno.sidhani kama ni busara kuifungia
Wabongo mtumba sahv unatoka China,ule UK na Canada siyo sanaHadi sasa zipo hasa Manzese [emoji23]
Museveni ni takataka,wananchi wana uwezo wa kununua ngua mpya dukani? Linazeeke vinaya stupidRais Museven amepiga Marufuku Nguo za Mitumba kuingiza nchini mwake akidai Hizo ni Nguo za marehemu Wazungu
Hapa Bongo Sidhani kama angeeleweka 😂😂😂
Source: Kitenge tv
Nawatakia Sabato Njema 😄
Huo mtumba unanunuliwa Europe, Ulaya, USA unasafishwa na kupangwa unaletwa Afrika kwa mabelo, container, nguo za watoto, wanawake, wanaume, jeans.Wabongo mtumba sahv unatoka China,ule UK na Canada siyo sana
Ova
Wakati wa Waganda kuanza kuvaa viraka umefika RasmiRais Museven amepiga Marufuku Nguo za Mitumba kuingiza nchini mwake akidai Hizo ni Nguo za marehemu Wazungu
Hapa Bongo Sidhani kama angeeleweka [emoji23][emoji23][emoji23]
Source: Kitenge tv
Nawatakia Sabato Njema [emoji1]
Ngoja nikupe mfano mdogo sana unajua viwanda vingi na vikubwa vya Nike vipo nchi gani ? Na hizo nchi ndio wavaaji wakubwa wa hizo Nike au zinapelekwa sehemu yenye watu wenye buying power kubwa ? Viwanda vya Nike vingi vipo Asia Why ? (Cheap Labour)Nimekwambia pale juu kuwa una huruma na uwezo mdogo wa mlala hoi ila huna huruma ya kumtoa hapo alipo.
Kwa maelezo yako nianavyo ni kuendelea kumfanya mlala hoi awe na uwezo mdogo wa kununua .
Mvaa mitumba ameathiliwa na uwepo wa mitumba. Mitumba inamsaidia hapo hapo unamdumaza kiuchumi mara 3 zaidi.
Mkulima wa pamba ambae angeuza pamba yake kwa bei nzuri kiwandani angeweza kununua nguo mpya.
Muuza mitumba angefungua duka la kuuza nguo mpya badala ya mitumba.
Mshona nguo angepata order nyingi zaidi kwenye kampuni za kuuza nguo.
sekta ya logistic ingekuwa zaidi kwa mzunguko wa uzalishaji nguo, export ingekuwa kubwa zaidi na kutusaidia kupata dola ambayo tungeitumia kununua heavy duty textile machine( huu ni mlishano wenye tija ya kumuinua mlala hoi)
Miitumba imeua huo mzunguko wote kwenye sekta ya nguo, ni vipi mlsla hoi atainuka?.
Mfano hapa nilipo tunalima viazi mviringo. Bei ya viazi inapokywa juu kila myu anapata nguvu ya kununua, na inaposhuka kila mtu anauwezo wa kuvila viazi na kusaza ila hakuna mwenye hela kila mtu anakuwa masikini. ndio case ya mitumba
Mitumba inatengeneza vicious cirle ya umasikini mbaya sana si utajiri na kujikomboa.
Masikini mmoja anaongeza umasikini kwa mwenzie. Wanaonufaika kwenye mitumba ni wahindi, wazingu na madalali wachache.
Twende kwenye vuwanda vya nguo kila kitu kitajurekebisha chenyewe, tupo ktk karne ya sayansi na teknolojia uwekezaji ndio kila kitu.
Hakuna atakaetembea uchi.
Tukizungumzia kiwanda hatuzungumzii tu wafanyakazi wa mle kiwandani.
Kiwanda kinaanzia kule malighafi ilipozalishwa mpaka kuwa bidha.
Mimi siangalii kiwanda kwa maana ya wafanyakazi, hao ni sehemu ndogo sana ktk industrislization.
Kwahio Brics walipiga marufuku dollar wakati hawana alternative ya pesa, au unadhani watapiga marufuku dollar au watawapa alternative watu ?Bro hakuna TRANSFORMATION/ TRANSITION isio na gharama.
BRICKS wanataka kuondoka ktk utumwa wa DOLLAR, je wakatae kisa kuna mambo watayakosa? Unadhani kwamba BRICKS kuna vitu hawatavikosa ?
Kama wenzetu wanatoka kwenye jambo kubwa la kutegemea DOLLAR sisi ni nani tushindwe jambo dogo la nguo !
Na aliyokukata kufanya hayo ni nani ? Fanya na hata ikibidi uza nje watu wanunue sio ndani tu The world is your oyster, ila sio nyumbani kwako badala ya kuhangaika kuweka shamba na kulima mahindi unapiga marufuku watoto wako wasiende kununua mahindi kwa jirani hivyo wanakufa njaa, There is a practical way and political way of doing things one is sustainable na nyingine ni kujazana ujingaKuhama kutoka kwenye mitumba nalo ni kubwa sana kama tukisema sasa mitambo na madawa ya west bas ?
Kama tu tunapingana kutoka katika mitumba tunaweza kukubaliana kujitegemea sekta kubwa kubwa mfano military, medicine nk.
TRANSFORMATION ina gharana zake but in long run it is fruitful!
Unadhani hayo magome ya miti ni cheaper ? Siongelei quality pekee bali na affordability na watu kupata moja ya basic needs unaongelea used clothes hivi unajua hata USA na UK kuna maduka ya Second Hand Clothes ?Noipo tiyari kuvaa magome iwapo yu bionhozi wangu wataonesha nia ya kweli.
Nwabafalsafa nguli wa kiafrika MALCOM X
aliongekea
HOUSE NEGRO
FIELLD NEGRO.
Kwahio msaada ni kupiga marufuku hizo nguo ambazo ni bei rahisi kwa watu badala ya kuhakikisha kuna viwanda vya ku-compete na hizo bei au alternatively kukuza kipato cha watu ?Huoni unatuhamasisha kuendelea kywa HOUSE NEGRO oli tuke makombo ya mzungu.
Kwa nini karne ya 21 uwe HOUSE NEGRO?
Bto viongozi wetu gawajatai mutumba kwa sababu haitusaidii bali jwa sababu inatudhalolisha na kudololesha UCHUMI WA NCHI.
Umesoma nilichokuandikia hapo juu nimekupa jinsi ya kuondokana na umasikini na ubangaizaji kwa dhamila ya kweli..., usidhani kama ukipaga marufuku watu wasile mkate basi watakula keki..., kama kipato chao ni kidogo watu hawa watakunywa chai tupuKumbuka hapa hatuzungumzii mimi na wewe, tunazungumzia jamii tunazungumzia Africa. NEO AFRICANISM!
Nani mchumi ? Yaani kuona haya mambo lazima uwe mchumi unaongelea wachina na waarabu ngoja nikue list ya most countries wanaoagiza mitumba....Nje ya mada :
Halafu nyie wachumi mbuni mbinu zinazoendana na mazingira yetu, theory za wazungu mnazonukuu zimefeli kufanya kazi hapa Afrika ndio maana tunaendelea kuwa na mataifa masikini na wachumi wamejazana tu na kuzipotosha serikali zetu.
Ndio maana raisi JPM aliwapuuzia mbali akafanya mambo yske ba yakaenda.
WARABU,WACHINA hawajatumia theory za wazungu kuinua UCHUMI wao bado nchi zao zina excel. Wanathibitisha kuwa tunaweza endelea bila theory za hao wazungu.
Sasa magari Bibi tutaweza kumiliki gar Kweli ist jipya c itakiwa milioni 45Hii safi sana.
Nimelikemea hili na nimeliponda kwa miaka mingi sana.
Waafrika wote tupige marufuku mitumba yote. Ya nguo, ya magari, ya nafriji na kila kitu.
Ndipo tutakapoweza kufanya vyetu wenyewe.
Hapa namuunga mkono Museveni 100%.
Kama hayumo kwenye AGOA atafanikiwa. Jiwe Mwamba Magufuli alijaribu, lakini Mkataba wa AGOA ulimbana.Hii safi sana.
Nimelikemea hili na nimeliponda kwa miaka mingi sana.
Waafrika wote tupige marufuku mitumba yote. Ya nguo, ya magari, ya nafriji na kila kitu.
Ndipo tutakapoweza kufanya vyetu wenyewe.
Hapa namuunga mkono Museveni 100%.
Basi nikuite tu mkereketwa wa nadharia za kimagharibiNani mchumi ?
Ili kuepuka mazungumzo marefu ngoja nichukue point yako moja tu, ili nikuelimisha unaongelea mazingira ?!!! Hivi unajua katika vitu vinavyoharibu mazingira nguo / fashion na overproduction ya hivyo vitu ni uharibifu mkubwa wa mazingira ?, Kwa taarifa yako mitumba inasaidia mazingira sababu nguo zinakuwa recycled / reused....vilevile inachafua mazingira