Yoweri Museveni Rais wa Uganda amepiga marufuku Mitumba. Amesema ni Nguo zilizoachwa na Wafu wa Ulaya

Yoweri Museveni Rais wa Uganda amepiga marufuku Mitumba. Amesema ni Nguo zilizoachwa na Wafu wa Ulaya

nimesema hakikisha kuna quantity, quality na affordable prices kabla haujaondoa mbadala kwa watu...
Quality zipo. Mfano vitenge, khanga ya TZ ni bora kuliko ya India. Za India ni kama lesso mda nfupi zinaharibika.
Jambo la muhimu ni kiwatoa watu katoka
uchuuzi waende katika uzalishaji.
Wakulima na wafugaji waache kuuza malighafi wauze bidhaa zilizosindikwa .
Uwezo wa kuzalisha quality upo hata fashion za kisasa inawezekana kabisa!
Shida kubwa ni utayari ba uoga(fear of unknown). Tunaweka hypotheses nyingi.
Ni hivi:
Weka kiwango stable cha boda boda( Flow in flow out).
Piga marufuku mitumba hasa ya nguo, vyombo vya nyumbani na umeme na uchuuuzi wote wote wa aina hio.
Piga marufuku umachinga.
Piga narufuku vishughili shughuli ambavyo havina value chain.
Imagine mama wengi wa Tanzania anataka kuwa mama ntilie, mama genge.
Kila mtu afanye uzalishaji bidhaa huduma wawe wanaokidhi soko tu .
Imagine vijana wengi wanataka wawe boda, au kibanda cha m-pesa.
Stand wamejazana watu wenye nguvu wasiofanya kazi.
Purchasing power ndogo inatokana na kudumaa sekta za uzalishaji na kujaza vijana kwenye ubangaizaji.
Ifike mda tuwe na roho ngumu tu, vinginevyo hio purchasing power ni ndoto. Na hio mitumba na vitu low quality ndio vitadumu milele.
Magufuli alusema TUTUMBUE JIPU, sio kilipuliza puliza.
 
Quality zipo. Mfano vitenge, khanga ya TZ ni bora kuliko ya India. Za India ni kama lesso mda nfupi zinaharibika.
Jambo la muhimu ni kiwatoa watu katoka uchuuzi waende katika uzalishaji.
Kwanini tusiwauzie hao India Khanga zetu pia au tatizo ni nini Gharama ni kubwa au ? Kwahio kama gharama ni kubwa huenda tuna shida katika uzalishaji
Wakulima na wafugaji waache kuuza malighafi wauze bidhaa zilizosindikwa .
Uwezo wa kuzalisha quality upo hata fashion za kisasa inawezekana kabisa!
Shida kubwa ni utayari ba uoga(fear of unknown). Tunaweka hypotheses nyingi.
Kwanini tusianze hata kama ya kupiga marufuku
Ni hivi:
Weka kiwango stable cha boda boda( Flow in flow out).
Unadhani before bodaboda watu walikuwa wanapanda taksi au wanatembea.., je wana income ya kutosha ya kuwawezesha kupanda usafiri bora (ndio hapo nakwambia vitu vyote vinategemeana huwezi kufanya moja bila jingine ukategemea positive outcome)
Piga marufuku mitumba hasa ya nguo, vyombo vya nyumbani na umeme na uchuuuzi wote wote wa aina hio.
Naam hata kuna kipindi kulikuwa hakuna mitumba watu wakatembea matako nje au kwa kuvaa zile khaki zinazoruka au kusubiri baba yako akuachie koti lake ili na wewe uvae (na kwa quality ya siku hizi wala halitadumu kiasi hicho)
Piga marufuku umachinga.
Unadhani machinga anafanya kwa kupenda ?
Piga narufuku vishughili shughuli ambavyo havina value chain.
Imagine mama wengi wa Tanzania anataka kuwa mama ntilie, mama genge.
Kila mtu afanye uzalishaji bidhaa huduma wawe wanaokidhi soko tu .
Imagine vijana wengi wanataka wawe boda, au kibanda cha m-pesa.
Stand wamejazana watu wenye nguvu wasiofanya kazi.
Hao watu umefungua kiwanda wakakataa kwenda ?
Purchasing power ndogo inatokana na kudumaa sekta za uzalishaji na kujaza vijana kwenye ubangaizaji.
Ifike mda tuwe na roho ngumu tu, vinginevyo hio purchasing power ni ndoto. Na hio mitumba na vitu low quality ndio vitadumu milele.
Magufuli alusema TUTUMBUE JIPU, sio kilipuliza puliza.
Aisee ungejua mimi ni muumini wa sustainability wala usingesema haya..., pia ninajua kabisa mifumo ya kimagharibi au mifumo ya sasa sio sustainable ndio maana kuna gap kubwa la have and have nots

Ndio maana nimekupa hapo usome hii Riwaya ambayo inaongelea sustainability wala bila kupiga marufuku chochote - A bottom up approach ambayo kwa kutumia mfumo wa viral inaweza ikaambukiza taifa - (Ila like everything haiwezi kutokea sasa mpaka kwanza mambo yawe worse na kufika point of no return)

 
Back
Top Bottom