Nimekwambia pale juu kuwa una huruma na uwezo mdogo wa mlala hoi ila huna huruma ya kumtoa hapo alipo.
Kwa maelezo yako nianavyo ni kuendelea kumfanya mlala hoi awe na uwezo mdogo wa kununua .
Mvaa mitumba ameathiliwa na uwepo wa mitumba. Mitumba inamsaidia hapo hapo unamdumaza kiuchumi mara 3 zaidi.
Mkulima wa pamba ambae angeuza pamba yake kwa bei nzuri kiwandani angeweza kununua nguo mpya.
Muuza mitumba angefungua duka la kuuza nguo mpya badala ya mitumba.
Mshona nguo angepata order nyingi zaidi kwenye kampuni za kuuza nguo.
sekta ya logistic ingekuwa zaidi kwa mzunguko wa uzalishaji nguo, export ingekuwa kubwa zaidi na kutusaidia kupata dola ambayo tungeitumia kununua heavy duty textile machine( huu ni mlishano wenye tija ya kumuinua mlala hoi)
Miitumba imeua huo mzunguko wote kwenye sekta ya nguo, ni vipi mlsla hoi atainuka?.
Mfano hapa nilipo tunalima viazi mviringo. Bei ya viazi inapokywa juu kila myu anapata nguvu ya kununua, na inaposhuka kila mtu anauwezo wa kuvila viazi na kusaza ila hakuna mwenye hela kila mtu anakuwa masikini. ndio case ya mitumba
Mitumba inatengeneza vicious cirle ya umasikini mbaya sana si utajiri na kujikomboa.
Masikini mmoja anaongeza umasikini kwa mwenzie. Wanaonufaika kwenye mitumba ni wahindi, wazingu na madalali wachache.
Twende kwenye vuwanda vya nguo kila kitu kitajurekebisha chenyewe, tupo ktk karne ya sayansi na teknolojia uwekezaji ndio kila kitu.
Hakuna atakaetembea uchi.
Tukizungumzia kiwanda hatuzungumzii tu wafanyakazi wa mle kiwandani.
Kiwanda kinaanzia kule malighafi ilipozalishwa mpaka kuwa bidha.
Mimi siangalii kiwanda kwa maana ya wafanyakazi, hao ni sehemu ndogo sana ktk industrislization.
Ngoja nikupe mfano mdogo sana unajua viwanda vingi na vikubwa vya Nike vipo nchi gani ? Na hizo nchi ndio wavaaji wakubwa wa hizo Nike au zinapelekwa sehemu yenye watu wenye buying power kubwa ? Viwanda vya Nike vingi vipo Asia Why ? (Cheap Labour)
Unadhani kwa gharama ya hii nishati nchi hii hata kama tungekuwa na nguvu ya marketing, distribution n.k. tunaweza tukatengeneza vitu cheaply ? Ofcourse wanajaribu kina A to Z na Sunflag, lakini bado hata kwa hapa nchini pricewise ni gharama ya juu....
Tatizo kubwa katika hii equation ni watu hawana buying power, na kubadilisha hilo inabidi kufanya revamption ya hali ya juu na ufanyaji huo wa revamption hauanzii kwenye kupiga marufuku wakati soko lako halijitoshelezi wa quantity wala quality....
Bro hakuna TRANSFORMATION/ TRANSITION isio na gharama.
BRICKS wanataka kuondoka ktk utumwa wa DOLLAR, je wakatae kisa kuna mambo watayakosa? Unadhani kwamba BRICKS kuna vitu hawatavikosa ?
Kama wenzetu wanatoka kwenye jambo kubwa la kutegemea DOLLAR sisi ni nani tushindwe jambo dogo la nguo !
Kwahio Brics walipiga marufuku dollar wakati hawana alternative ya pesa, au unadhani watapiga marufuku dollar au watawapa alternative watu ?
Kuhama kutoka kwenye mitumba nalo ni kubwa sana kama tukisema sasa mitambo na madawa ya west bas ?
Kama tu tunapingana kutoka katika mitumba tunaweza kukubaliana kujitegemea sekta kubwa kubwa mfano military, medicine nk.
TRANSFORMATION ina gharana zake but in long run it is fruitful!
Na aliyokukata kufanya hayo ni nani ? Fanya na hata ikibidi uza nje watu wanunue sio ndani tu The world is your oyster, ila sio nyumbani kwako badala ya kuhangaika kuweka shamba na kulima mahindi unapiga marufuku watoto wako wasiende kununua mahindi kwa jirani hivyo wanakufa njaa, There is a practical way and political way of doing things one is sustainable na nyingine ni kujazana ujinga
Noipo tiyari kuvaa magome iwapo yu bionhozi wangu wataonesha nia ya kweli.
Nwabafalsafa nguli wa kiafrika MALCOM X
aliongekea
HOUSE NEGRO
FIELLD NEGRO.
Unadhani hayo magome ya miti ni cheaper ? Siongelei quality pekee bali na affordability na watu kupata moja ya basic needs unaongelea used clothes hivi unajua hata USA na UK kuna maduka ya Second Hand Clothes ?
Huoni unatuhamasisha kuendelea kywa HOUSE NEGRO oli tuke makombo ya mzungu.
Kwa nini karne ya 21 uwe HOUSE NEGRO?
Bto viongozi wetu gawajatai mutumba kwa sababu haitusaidii bali jwa sababu inatudhalolisha na kudololesha UCHUMI WA NCHI.
Kwahio msaada ni kupiga marufuku hizo nguo ambazo ni bei rahisi kwa watu badala ya kuhakikisha kuna viwanda vya ku-compete na hizo bei au alternatively kukuza kipato cha watu ?
Kumbuka hapa hatuzungumzii mimi na wewe, tunazungumzia jamii tunazungumzia Africa. NEO AFRICANISM!
Umesoma nilichokuandikia hapo juu nimekupa jinsi ya kuondokana na umasikini na ubangaizaji kwa dhamila ya kweli..., usidhani kama ukipaga marufuku watu wasile mkate basi watakula keki..., kama kipato chao ni kidogo watu hawa watakunywa chai tupu
Nje ya mada :
Halafu nyie wachumi mbuni mbinu zinazoendana na mazingira yetu, theory za wazungu mnazonukuu zimefeli kufanya kazi hapa Afrika ndio maana tunaendelea kuwa na mataifa masikini na wachumi wamejazana tu na kuzipotosha serikali zetu.
Ndio maana raisi JPM aliwapuuzia mbali akafanya mambo yske ba yakaenda.
WARABU,WACHINA hawajatumia theory za wazungu kuinua UCHUMI wao bado nchi zao zina excel. Wanathibitisha kuwa tunaweza endelea bila theory za hao wazungu.
Nani mchumi ? Yaani kuona haya mambo lazima uwe mchumi unaongelea wachina na waarabu ngoja nikue list ya most countries wanaoagiza mitumba....
Imports
In 2021, China imported $49M in Used Clothing, becoming the 38th largest importer of Used Clothing in the world. At the same year, Used Clothing was the 800th most imported product in China.
In 2021, the top importers of Used Clothing were
Ghana ($214M), Pakistan ($180M), Ukraine ($177M), United Arab Emirates ($173M), and Kenya ($169M).