Yoweri Museveni: Sudan haitawaliki sababu Al Bashir alichagua Sudan yenye mrengo wa kidini kuliko Sudan ya wote

Yoweri Museveni: Sudan haitawaliki sababu Al Bashir alichagua Sudan yenye mrengo wa kidini kuliko Sudan ya wote

Waislam wakiwa wengi mahali hutamani kufanya mapinduzi
Hata hapa kwetu wanajitahidi siku Moja wafanye mapinduzi na nchi iitwe Dola la kiislam
hahaha utasikia uislam ni unyenyekevu.Sheitwani haishiwi mbinu!
 
Kwani hamna watawala wa kikristo wanaotaka kutawala milele hadi kupelekea machafuko katika kanda ile???

Are you mad???
Hao wanatumia dini kwa malengo yao ktk nchi zao tofauti na magaidi wanasapotiana dunia nzima.
 
Waarabu kiasili ni watu wa gulf tu, Oman, Yemen, Saudi, UAE, Qatar etc.

North Africa, Sudan, Egpty, Lebanon, Palestine, Part ya Syria, Iraq etc sio waarabu kiasili ila wamekuwa arabized, sababu wanaongea kiarabu na kufuata tamaduni baadhi za kiarabu basi wanaitwa waarabu.

Sudan ni kushite, Morocco, Algeria, Tunisia na Libya ni Amazingh/Berbers, Egpty wapo kuishite na Copts, Lebanon na Palestina ni Levant etc.

Mkuu kuwa arabilise kulitokea wap bila waarabu kufika???
wenyeji walikua si waarabu lakin hizo nchi zilivamiwa na waarabu na kutawaliwa na hawakuondoka hadi leo
Sijui unaelewa
 
Mkuu kuwa arabilise kulitokea wap bila waarabu kufika???
wenyeji walikua si waarabu lakin hizo nchi zilivamiwa na waarabu na kutawaliwa na hawakuondoka hadi leo
Sijui unaelewa
Si Kweli, Historically waarabu wakienda sehemu na kutawala Wanaenda tu wale elites ila wananchi ni Wale wale wa eneo husika. So Raisi ama waziri akiwa mwarabu habadilishi watu vijijini kuwa waarabu biologically ila anaweza akawabadilisha ki culture. Waarabu ni wachache mno, nchi nyingi za kiarabu unakuta watu hata milioni 5 hawafikii, ngumu kwenda sehemu Na kubadili Ethnicity za watu.

Tuna Sayansi siku hizi vipimo Vya Dna vinaonesha ukweli wote, Sudan Dna ya kiarabu haifiki hata 20% same to Egpty. Hao ni wa Nubia ambao wamekua arabized that's it.
 
Si Kweli, Historically waarabu wakienda sehemu na kutawala Wanaenda tu wale elites ila wananchi ni Wale wale wa eneo husika. So Raisi ama waziri akiwa mwarabu habadilishi watu vijijini kuwa waarabu biologically ila anaweza akawabadilisha ki culture. Waarabu ni wachache mno, nchi nyingi za kiarabu unakuta watu hata milioni 5 hawafikii, ngumu kwenda sehemu Na kubadili Ethnicity za watu.

Tuna Sayansi siku hizi vipimo Vya Dna vinaonesha ukweli wote, Sudan Dna ya kiarabu haifiki hata 20% same to Egpty. Hao ni wa Nubia ambao wamekua arabized that's it.
Kama unadhan hiyo 17% ni ndogo iweke katika actual number!
Hii ni aina ya watu wanaounda Egypt
 

Attachments

  • 9AAD4802-D3D3-45E7-B1A4-94AA32169A5E.jpeg
    9AAD4802-D3D3-45E7-B1A4-94AA32169A5E.jpeg
    25 KB · Views: 1
Kama unadhan hiyo 17% ni ndogo iweke katika actual number!
Hii ni aina ya watu wanaounda Egypt
Sio 17% ni waarabu bali 17% ya damu yako ni ya kiarabu, leo ukienda kwa mrangi, Mnyaturu, muiraq etc utakuta damu ya Ki Asia ila wale sio waarabu, mtu yoyote unayemuona mtaani maji ya kunde ukienda kumpima atakua na Dna ya kiarabu, kihindi, kijerumani, uingereza etc unakuta babu wa babu yake generation hata 20 zilizopita alikua mweupe.

Sasa hao Egpty wamepakana kabisa na nchi za kiarabu ila ndio 17% Sudan hawafiki hio.

So mataifa yote hayo sio ya kiarabu bali Wamekua tu arabized.
 
Msudani unamkuta ni mwafrika mweusi alafu anajiita mwarabu
Ni afadhali unapokutana na wamisri wanajisikia kama waafrika, lakini wasudan na watunisia ni watu wa ajabu sana dhidi ya waafrika.

Watunisia wao hujiita ni wa-Mediterranean siyo waafrika.
 
Ni afadhali unapokutana na wamisri wanajisikia kama waafrika, lakini wasudan na watunisia ni watu wa ajabu sana dhidi ya waafrika.
Sidhani, wamisri niliokutana nao wengi wanasema wao sio WAAFRIKA. Wanasema Afrika walihamia, lakini wao sio waafrika.
 
Sidhani, wamisri niliokutana nao wengi wanasema wao sio WAAFRIKA. Wanasema Afrika walihamia, lakini wao sio waafrika.
Unayosema inaweza kuwa kweli kwani kihistoria waliwahi kulalamika kuwa Cleopatra hakuwa mweusi. Lakini wengi wao wanakubali bila ubaguzi kuwa wao ni sehemu ya Afrika ya leo. Hata wasudani wa kuşini walikuwa wanajisikia salama kukimbilia Cairo kuliko Khartoum.
 
Katika Hotuba ya Museveni amejaribu kuelezea matatizo yanayoikumba Afrika lakini pia kaelezea mgogoro wa Sudan akidai Katitka Mikutano ya mapatanisho kati ya waasi wa sudani kusini na sudan kaskazini Al Bashir aliambiwa achague kati ya Kuifanya Sudan ni ya wasudani wote (isiyo ongozwa kidini, isiyo ya waarabu tu ya watu wote) au Kuwaacha wasudan kusini ambao walikua si waislam, waafrika.

Lakini yeye alichagua Sudan ya kiislam iwe nchi inayongozwa kwa sheria za kidini, na yenye utambuzi wa kiarabu hivo aliruhusu wasudan kusini wajitenge kuliko kufanya sudani ya wote.

Leo hii sudan haitawaliki imekua failed state.

Nimesema mara nyingi mno, huwezi kuitenga Dini ya kiislamu na shetani,ndo maana kukuta mwislamu kichwani yupo vizuri basi ni muujiza
 
Nimesema mara nyingi mno, huwezi kuitenga Dini ya kiislamu na shetani,ndo maana kukuta mwislamu kichwani yupo vizuri basi ni muujiza
Sasa kama hawapo vizuri kichwani iweje kila wanapenda wanafanikiwa sana? Africa nzima karibia nchi zote zenye mafanikio ni zao. Huko Ulaya majiji makubwa mengi wao wamo na hela zao zina run majiji, nchi chache sana zenye Natural resource zimefanikiwa na karibia zote ni zao, maybe ni chuki zako tu ila wapo vizuri?
 
Back
Top Bottom