Yu wapi Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika?

Yu wapi Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika?

Kajeba

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2020
Posts
1,057
Reaction score
2,364
Umepita ukimya mrefu kidogo kwa huyu katibu mkuu wa CHADEMA ambapo mara ya mwisho ililipotiwa amekimbilia kanisani kwa ibadala maalumu ya mfungo kuliombea taifa.

Baada ya hapo hatujaarifiwa nini kimeendelea baina yake na jeshi la polisi ambalo lilikuwa likimrafuta mpaka kupiga kambi kanisani.

Lakini pia sisi wafuasi wa CHADEMA tunahitaji kufahamu kiongozi wetu yuko wapi, anahali gani na kwanini yupo kimya.

Asante

Soma Pia: Kanisa Katoliki arokia ya Msimbazi Centre lazingirwa na Polisi ili kumkamata John Mnyika
 
Siku ya pili aliongea vizuri kwamba alikua kwenye maombi katika groto ya padri pio, na amerudi nyumbani salama. Na hakuripoti polisi ila kweli polisi walizingira kanisani alipokua kwaajili ya maombi. Ww shabiki kutoka nchingani hujui taarifa kama hiyo.
 
Umepita ukimya mrefu kidogo kwa huyu katibu mkuu wa chadema ambapo mara ya mwisho ililipotiwa amekimbilia kanisani kwa ibadala maalumu ya mfungo kuliombea taifa.

Baada ya hapo hatujaarifiwa nini kimeendelea baina yake na jeshi la polisi ambalo lilikuwa likimrafuta mpaka kupiga kambi kanisani

Lakini pia sisi wafuasi wa chadema tunahitaji kufahamu kiongozi wetu yuko wapi, anahali gani na kwanini yupo kimya

Asante
huenda kisomo kinafanya kazi 🐒
 
Kwani ameshatoka kule kanisani alikoomba hifadhi siku ile ya maandamano?
 
Muoga hata akiona panya huwa anajificha inawezekana bado kajificha
 
Mz
Umepita ukimya mrefu kidogo kwa huyu katibu mkuu wa chadema ambapo mara ya mwisho ililipotiwa amekimbilia kanisani kwa ibadala maalumu ya mfungo kuliombea taifa.

Baada ya hapo hatujaarifiwa nini kimeendelea baina yake na jeshi la polisi ambalo lilikuwa likimrafuta mpaka kupiga kambi kanisani

Lakini pia sisi wafuasi wa chadema tunahitaji kufahamu kiongozi wetu yuko wapi, anahali gani na kwanini yupo kimya

Asante
 
Umepita ukimya mrefu kidogo kwa huyu katibu mkuu wa chadema ambapo mara ya mwisho ililipotiwa amekimbilia kanisani kwa ibadala maalumu ya mfungo kuliombea taifa.

Baada ya hapo hatujaarifiwa nini kimeendelea baina yake na jeshi la polisi ambalo lilikuwa likimrafuta mpaka kupiga kambi kanisani

Lakini pia sisi wafuasi wa chadema tunahitaji kufahamu kiongozi wetu yuko wapi, anahali gani na kwanini yupo kimya

Asante
Mzee Mbowe anamwamini Mrema kuliko huyu katibu mkuu.Hamuoni matamko yote ya kiutendaji ndani ya chama yanatolewa na huyu Mangi
 
Back
Top Bottom