Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Katibu Mkuu siyo msemaji wa chama anatakiwa kuwa busy na kazi za ofisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap lazima amshukuru MUNGU wakeYupo kanisani anasali nasikia alianza Novena ya siku tisa, huu ni mwezi wa kumi ameunganisha na Rozali Takatifu mpaka Novemba😏
Unaelewa kazi za Afisa Habari na Katibu Mkuu?Mzee Mbowe anamwamini Mrema kuliko huyu katibu mkuu.Hamuoni matamko yote ya kiutendaji ndani ya chama yanatolewa na huyu Mangi
Kwa uandishi wake unadhani ana akili hiyo?Unaelewa kazi za Afisa Habari na Katibu Mkuu?
Nimekusoma mkuuKwa uandishi wake unadhani ana akili hiyo?
Umeandika ukiwa usingizini boss, amkaUmepita ukimya mrefu kidogo kwa huyu katibu mkuu wa CHADEMA ambapo mara ya mwisho ililipotiwa amekimbilia kanisani kwa ibadala maalumu ya mfungo kuliombea taifa.
Baada ya hapo hatujaarifiwa nini kimeendelea baina yake na jeshi la polisi ambalo lilikuwa likimrafuta mpaka kupiga kambi kanisani.
Lakini pia sisi wafuasi wa CHADEMA tunahitaji kufahamu kiongozi wetu yuko wapi, anahali gani na kwanini yupo kimya.
Asante
Soma Pia: Kanisa Katoliki arokia ya Msimbazi Centre lazingirwa na Polisi ili kumkamata John Mnyika
Mrema leo amekuwa ni afisa habari?Unaelewa kazi za Afisa Habari na Katibu Mkuu?
Sidhani kama naweza kuwa sawa na hawa waliofeli elimu ya sekondari na hawakujiendeleza;Mzee Mbowe,Lema ,Sugu na Wenje (ila hiki chama aisee)Kwa uandishi wake unadhani ana akili hiyo?
Crdb kiuhalisia watakuwa wanazo sifa ila kwa wale walioko pale kwenye SACCOS ni a very big no (kuna tatizo kubwa)Acha ukabila wewe shetani, hao wachaga wa CRDB walikuwa hawana sifa za kuajiriwa au walikuwa nazo?
Mungu hamnyimi mja wake ubongo bali ni jinsi gani aliyepewa ataamua kuutumia.Mzee Mbowe anamwamini Mrema kuliko huyu katibu mkuu.Hamuoni matamko yote ya kiutendaji ndani ya chama yanatolewa na huyu Mangi
Lakini ibada sio lazima ifanywe ndani ya kanisa.Ibada haina mwisho.
Mangi tulia sindano ikochome,Mrema ndi de factor katibu mkuu wa CDM ,acheni kujitetea hapa.Mungu hamnyimi mja wake ubongo bali ni jinsi gani aliyepewa ataamua kuutumia.
Hujui hata kutumia matumizi ya ubongo uliopewa bure? Si bora ungekuwa ng'ombe au kitimoto watu wale nyama choma? Hujui majukumu ya Mrema ndani ya chama mpaka ushangae kwa nini matamko anayatoa yeye kwa niaba ya chama?
Kwa nini wanaccm wengi ni zero brain? Hamjishughulishi kujifunza, pole sikukusudia kukushambulia ila kukusaidia.
=iliripotiwa.Umepita ukimya mrefu kidogo kwa huyu katibu mkuu wa CHADEMA ambapo mara ya mwisho ililipotiwa amekimbilia kanisani kwa ibadala maalumu ya mfungo kuliombea taifa.
Baada ya hapo hatujaarifiwa nini kimeendelea baina yake na jeshi la polisi ambalo lilikuwa likimrafuta mpaka kupiga kambi kanisani.
Lakini pia sisi wafuasi wa CHADEMA tunahitaji kufahamu kiongozi wetu yuko wapi, anahali gani na kwanini yupo kimya.
Asante
Soma Pia: Kanisa Katoliki arokia ya Msimbazi Centre lazingirwa na Polisi ili kumkamata John Mnyika
Sasa kama ulifaulu na akili ni nzito kiasi hicho kama chura kiziwi. Je, ungefeli hali ingekuwaje ?Sidhani kama naweza kuwa sawa na hawa waliofeli elimu ya sekondari na hawakujiendeleza;Mzee Mbowe,Lema ,Sugu na Wenje (ila hiki chama aisee)
Kumbe kazi yake ni nini?Mrema leo amekuwa ni afisa habari?
Mangi mimi pia sikufaulu kama walivyo hao wenzangu Mangi.Sasa kama ulifaulu na akili ni nzito kiasi hicho kama chura kiziwi. Je, ungefeli hali ingekuwaje ?
Ni ya kiutendaji zaidi hadi kusimamia chaguzi ndani ya chama Mangi.Kumbe kazi yake ni nini?
Ni mkurugenzi wa ififaki sijui kama unaelewaNi ya kiutendaji zaidi hadi kusimamia chaguzi ndani ya chama Mangi.