Yu wapi Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika?

Yu wapi Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika?

Umepita ukimya mrefu kidogo kwa huyu katibu mkuu wa CHADEMA ambapo mara ya mwisho ililipotiwa amekimbilia kanisani kwa ibadala maalumu ya mfungo kuliombea taifa.

Baada ya hapo hatujaarifiwa nini kimeendelea baina yake na jeshi la polisi ambalo lilikuwa likimrafuta mpaka kupiga kambi kanisani.

Lakini pia sisi wafuasi wa CHADEMA tunahitaji kufahamu kiongozi wetu yuko wapi, anahali gani na kwanini yupo kimya.

Asante

Soma Pia: Kanisa Katoliki arokia ya Msimbazi Centre lazingirwa na Polisi ili kumkamata John Mnyika
Umeandika ukiwa usingizini boss, amka
 
Mzee Mbowe anamwamini Mrema kuliko huyu katibu mkuu.Hamuoni matamko yote ya kiutendaji ndani ya chama yanatolewa na huyu Mangi
Mungu hamnyimi mja wake ubongo bali ni jinsi gani aliyepewa ataamua kuutumia.
Hujui hata kutumia matumizi ya ubongo uliopewa bure? Si bora ungekuwa ng'ombe au kitimoto watu wale nyama choma? Hujui majukumu ya Mrema ndani ya chama mpaka ushangae kwa nini matamko anayatoa yeye kwa niaba ya chama?
Kwa nini wanaccm wengi ni zero brain? Hamjishughulishi kujifunza, pole sikukusudia kukushambulia ila kukusaidia.
 
Mungu hamnyimi mja wake ubongo bali ni jinsi gani aliyepewa ataamua kuutumia.
Hujui hata kutumia matumizi ya ubongo uliopewa bure? Si bora ungekuwa ng'ombe au kitimoto watu wale nyama choma? Hujui majukumu ya Mrema ndani ya chama mpaka ushangae kwa nini matamko anayatoa yeye kwa niaba ya chama?
Kwa nini wanaccm wengi ni zero brain? Hamjishughulishi kujifunza, pole sikukusudia kukushambulia ila kukusaidia.
Mangi tulia sindano ikochome,Mrema ndi de factor katibu mkuu wa CDM ,acheni kujitetea hapa.
 
Umepita ukimya mrefu kidogo kwa huyu katibu mkuu wa CHADEMA ambapo mara ya mwisho ililipotiwa amekimbilia kanisani kwa ibadala maalumu ya mfungo kuliombea taifa.

Baada ya hapo hatujaarifiwa nini kimeendelea baina yake na jeshi la polisi ambalo lilikuwa likimrafuta mpaka kupiga kambi kanisani.

Lakini pia sisi wafuasi wa CHADEMA tunahitaji kufahamu kiongozi wetu yuko wapi, anahali gani na kwanini yupo kimya.

Asante

Soma Pia: Kanisa Katoliki arokia ya Msimbazi Centre lazingirwa na Polisi ili kumkamata John Mnyika
=iliripotiwa.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Mnyika kujificha kanisani bila shaka ni guilty consciousness kuna kitu kinamsumbua rohoni ndio maana akaona ashinde kanisani kutubu madhambi yake kwa muda mrefu
 
Sidhani kama naweza kuwa sawa na hawa waliofeli elimu ya sekondari na hawakujiendeleza;Mzee Mbowe,Lema ,Sugu na Wenje (ila hiki chama aisee)
Sasa kama ulifaulu na akili ni nzito kiasi hicho kama chura kiziwi. Je, ungefeli hali ingekuwaje ?
 
Back
Top Bottom