Kule Iringa ndio alikuwa msimamizi mkuu wa uchaguzi MangiNi mkurugenzi wa ififaki sijui kama unaelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule Iringa ndio alikuwa msimamizi mkuu wa uchaguzi MangiNi mkurugenzi wa ififaki sijui kama unaelewa
Ulitaka ukasimamie wewe?Kule Iringa ndio alikuwa msimamizi mkuu wa uchaguzi Mangi
Hata kuandika hujui, utaweza kusoma na kuelewa kweli?Mangi tulia sindano ikochome,Mrema ndi de factor katibu mkuu wa CDM ,acheni kujitetea hapa.
Hata hajielewi, hawa uvccm sijui wanachomwa sindano ya ku paralyze ubongo au vipi! Wagumu mno kujiongezaKumbe kazi yake ni nini?
PambanaMangi mimi pia sikufaulu kama walivyo hao wenzangu Mangi.
We kibibi njoo dm tuyajenge=iliripotiwa.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Hayana akili hata kidogo yakiongozwa na Lucas MwashambwaHata hajielewi, hawa uvccm sijui wanachomwa sindano ya ku paralyze ubongo au vipi! Wagumu mno kujiongeza
Na wala haikatazwi kufanywa kanisani pia.Lakini ibada sio lazima ifanywe ndani ya kanisa.
atakuwa bado anapiga maombi pale church.Umepita ukimya mrefu kidogo kwa huyu katibu mkuu wa CHADEMA ambapo mara ya mwisho ililipotiwa amekimbilia kanisani kwa ibadala maalumu ya mfungo kuliombea taifa.
Baada ya hapo hatujaarifiwa nini kimeendelea baina yake na jeshi la polisi ambalo lilikuwa likimrafuta mpaka kupiga kambi kanisani.
Lakini pia sisi wafuasi wa CHADEMA tunahitaji kufahamu kiongozi wetu yuko wapi, anahali gani na kwanini yupo kimya.
Asante
Soma Pia: Kanisa Katoliki arokia ya Msimbazi Centre lazingirwa na Polisi ili kumkamata John Mnyika
Huna tofari za kujengea wewe.We kibibi njoo dm tuyajenge
Si ni afisa habari?mtendaji wa chama alikuwa wapi mkuu?Ulitaka ukasimamie wewe?
Kwani mimi nimesema inakatazwa?Na wala haikatazwi kufanywa kanisani pia.
Pambana na maswala ya CCM ya watu achana nayoSi ni afisa habari?mtendaji wa chama alikuwa wapi mkuu?
Hizo kazi za watoto wa 2000,, a complete man nimetulia wewe ndiye saizi yanguHuna tofari za kujengea wewe.
Nenda Kabeti huko.
Acha ubaguzi sisi wote ni watanzania hata kama SACCOS haimini hivyo.Pambana na maswala ya CCM ya watu achana nayo
Kwanini na wewe usianzishe SACCOS?Acha ubaguzi sisi wote ni watanzania hata kama SACCOS haimini hivyo.
Ya kugawa watanzania siwezi kubeba hiyo laana aiseeKwanini na wewe usianzishe SACCOS?