Yuda Iskariote chuma kilicho piga pesa ndefu na kumsaliti Yesu

Yuda Iskariote chuma kilicho piga pesa ndefu na kumsaliti Yesu

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
dailypicha~p~CcUqQmoNyKy~1.jpg


Yuda a.k.a chuma ndiye mwamba uliyeona pesa ni bora kuliko Yesu.

Kabla ya siku ya Alhamis Kuu kama iaminiavyo na Wakristo wengi hapa Duniani chuma kilikuwa kimeshalamba advance yake mapema kabisa na Mafarisayo kama wote mida ya jioni jioni ya Alhamis Kuu ndiwo walikuwa wapambe wake huku wakimsifu kwa nyimbo na mapambio.

Mwenye historia ya Yuda Iskariote a.k.a chuma atuwekee hapa wapendwa.
 
View attachment 2187410

Yuda a.k.a chuma ndiye mwamba uliyeona pesa ni bora kuliko Yesu.

Kabla ya siku ya Alhamis Kuu kama iaminiavyo na Wakristo wengi hapa Duniani chuma kilikuwa kimeshalamba advance yake mapema kabisa na Mafarisayo kama wote mida ya jioni jioni ya Alhamis Kuu ndiwo walikuwa wapambe wake huku wakimsifu kwa nyimbo na mapambio.

Mwenye historia ya Yuda Iskariote a.k.a chuma atuwekee hapa wapendwa.
Huyu jamaa inabidi ashukuriwe maana alitimiza maandiko hakuwa na jinsi ya kuepuka hiki kikombe maana imeandikwa maandiko lazima yatimie
 
View attachment 2187410

Yuda a.k.a chuma ndiye mwamba uliyeona pesa ni bora kuliko Yesu.

Kabla ya siku ya Alhamis Kuu kama iaminiavyo na Wakristo wengi hapa Duniani chuma kilikuwa kimeshalamba advance yake mapema kabisa na Mafarisayo kama wote mida ya jioni jioni ya Alhamis Kuu ndiwo walikuwa wapambe wake huku wakimsifu kwa nyimbo na mapambio.

Mwenye historia ya Yuda Iskariote a.k.a chuma atuwekee hapa wapendwa.
Nasikia jamaa alipiga billion 222 za kitanzania
 
Hata asingekuwa Yuda, maandiko yalipaswa kutimizwa.
Lazima ingekua Yuda.

Yuda alizaliwa ili aje kumsaliti Yesu. Maisha yake yote Mungu alimlinda asife kwa maradhi, ajali nk ili tu aje atimize maandiko.
 
Screenshot_20220418-070558.jpg
hii bastola imeuwa watanzania wengi wasio na hatia, huyu atakutana na yuda jehanamu
 
Nasikia kuna sehemu nilisoma eti wakristo wengi tunatakiwa kumuona yuda kwa jicho lingine maana yeye alichaguliwa yaan hata ingekuwa vp tayar ilishaandikwa kwenye future yake kufanya hivyo ilikuwa nje ya mipaka yake kama mwanadamu.Yuda angekataa kweli kumsaliti Yesu unafikiri ingekuwaje??
 
Back
Top Bottom