Yuda Iskariote chuma kilicho piga pesa ndefu na kumsaliti Yesu

Yuda Iskariote chuma kilicho piga pesa ndefu na kumsaliti Yesu

Hapana hakupiga hela ndefu, tukiongea kiuhusiano [relatively speaking]

Na hata kama alipiga pesa kiasi kikubwa vipi hakikuwa cha kuridhisha

In fact pesa haiwezi kuridhisha nafsi

Ndiyo maana mwisho ni kukosa maana ya maisha ikiwa utaendekeza pesa na kusahau la muhimu zaidi ambalo ni kuishi uweponi mwa Mungu.

Itabakia kuwa kweli daima kwamba ; Utafuteni kwanza ufalme wa Mungu kisha hayo mengine kimsingi mtakuwa mmeshayapata kiotomati.
 
Nasikia kuna sehemu nilisoma eti wakristo wengi tunatakiwa kumuona yuda kwa jicho lingine maana yeye alichaguliwa yaan hata ingekuwa vp tayar ilishaandikwa kwenye future yake kufanya hivyo ilikuwa nje ya mipaka yake kama mwanadamu.Yuda angekataa kweli kumsaliti Yesu unafikiri ingekuwaje??
Hapana
 
Back
Top Bottom