Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 3,644
- 4,315
Hapana hakupiga hela ndefu, tukiongea kiuhusiano [relatively speaking]
Na hata kama alipiga pesa kiasi kikubwa vipi hakikuwa cha kuridhisha
In fact pesa haiwezi kuridhisha nafsi
Ndiyo maana mwisho ni kukosa maana ya maisha ikiwa utaendekeza pesa na kusahau la muhimu zaidi ambalo ni kuishi uweponi mwa Mungu.
Itabakia kuwa kweli daima kwamba ; Utafuteni kwanza ufalme wa Mungu kisha hayo mengine kimsingi mtakuwa mmeshayapata kiotomati.
Na hata kama alipiga pesa kiasi kikubwa vipi hakikuwa cha kuridhisha
In fact pesa haiwezi kuridhisha nafsi
Ndiyo maana mwisho ni kukosa maana ya maisha ikiwa utaendekeza pesa na kusahau la muhimu zaidi ambalo ni kuishi uweponi mwa Mungu.
Itabakia kuwa kweli daima kwamba ; Utafuteni kwanza ufalme wa Mungu kisha hayo mengine kimsingi mtakuwa mmeshayapata kiotomati.