Yuko Bafuni Muda huu...

Yuko Bafuni Muda huu...

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Nashukuru nimefika salama Dodoma nikitokea Iringa ambapo nilipata penzi motomoto, nimeamua kufikia Lodge moja hivi pande za Kisasa, hii ni kutokana na kuwa na miadi na demu wangu wa Facebook ambaye tulianza kuwasiliana kitambo sana, kwa taaluma ni mwalimu, saa 8 juu ya alama nimempitia kazini kwake tukaenda kula then nikamleta eneo la tukio.

Ameingia bafuni kuoga namimi nipo kitandani nimekunja nne huku natikisa tikisa mguu kidogo, nasubiri atoke nimpelekee moto, mtoto mpole fulani hivi, inaelekea ni mtu wa dini sana, kasura kakitoto hivi, ana sauti tamu sana.

Endeleeni kuperuzi JF wakati mimi nikila uhondo. Hadi mida ya jioni nimsindikize kwake, uzuri ni kwamba yuko single.

Dodoma hoyeee.

1657803290433.png

 
Nashukuru nimefika salama Dodoma nikitokea Iringa ambapo nilipata penzi motomoto, nimeamua kufikia Lodge moja hivi pande za Kisasa, hii ni kutokana na kuwa na miadi na demu wangu wa Facebook ambaye tulianza kuwasiliana kitambo sana, kwa taaluma ni mwalimu, saa 8 juu ya alama nimempitia kazini kwake tukaenda kula then nikamleta eneo la tukio.

Ameingia bafuni kuoga namimi nipo kitandani nimekunja nne huku natikisa tikisa mguu kidogo, nasubiri atoke nimpelekee moto, mtoto mpole fulani hivi, inaelekea ni mtu wa dini sana, kasura kakitoto hivi, ana sauti tamu sana.

Endeleeni kuperuzi JF wakati mimi nikila uhondo. Hadi mida ya jioni nimsindikize kwake, uzuri ni kwamba yuko single.
Dodoma hoyeee.
Tumia mpira hao wanaoonekana wa dini sana ni shida
 
Nashukuru nimefika salama Dodoma nikitokea Iringa ambapo nilipata penzi motomoto, nimeamua kufikia Lodge moja hivi pande za Kisasa, hii ni kutokana na kuwa na miadi na demu wangu wa Facebook ambaye tulianza kuwasiliana kitambo sana, kwa taaluma ni mwalimu, saa 8 juu ya alama nimempitia kazini kwake tukaenda kula then nikamleta eneo la tukio.

Ameingia bafuni kuoga namimi nipo kitandani nimekunja nne huku natikisa tikisa mguu kidogo, nasubiri atoke nimpelekee moto, mtoto mpole fulani hivi, inaelekea ni mtu wa dini sana, kasura kakitoto hivi, ana sauti tamu sana.

Endeleeni kuperuzi JF wakati mimi nikila uhondo. Hadi mida ya jioni nimsindikize kwake, uzuri ni kwamba yuko single.
Dodoma hoyeee.
CHAI ya leo nimsala nimeleta ivi vya kunywea🍞🐖🥑🥜🍌
 
Japo unaonekana mkubwa lakini bado ni mvulana. Hauna tofauti na wale vijana ambao ndiyo wanaingia kwenye balehe.
Acha kutumia pesa nyingi kwenye ngono kijana.
 
Japo unaonekana mkubwa lakini bado ni mvulana. Hauna tofauti na wale vijana ambao ndiyo wanaingia kwenye balehe.
Acha kutumia pesa nyingi kwenye ngono kijana.
Kipindi unasoma hukuambiwa wanawake utawakuta ukubwani? Sasa ndiyo muda wa kuwatafuna, nimekamilisha shughuli muda mfupi uliopita, sasa najihisi mwepesi kabisa.
 
Ndio mana skutaka swala la kufungua JF ukumbane na trending, Bora ukutane na forums, trending iwe namba mbili
Ukifanya hivo jamiiforums haitrend...hii Ni marketing strategy waliyofanya.

Mwanzon JF ilikuwa inajulikana mtandao wa watu serious sana,wajenga hoja Na wasiopenda ujinga ujinga, hivyo JF ikapata watumiaji wachache Na Max akapata Hela kidogo,,,Sasaivi Wanataka mtandao uwe maarufu Kwa content Za kipuuzi kama Facebook wapate Hela. Ndomaana wameweka trending usoni wakijua 'ujinga ndo huwa unatrend'
 
Nashukuru nimefika salama Dodoma nikitokea Iringa ambapo nilipata penzi motomoto, nimeamua kufikia Lodge moja hivi pande za Kisasa, hii ni kutokana na kuwa na miadi na demu wangu wa Facebook ambaye tulianza kuwasiliana kitambo sana, kwa taaluma ni mwalimu, saa 8 juu ya alama nimempitia kazini kwake tukaenda kula then nikamleta eneo la tukio.

Ameingia bafuni kuoga namimi nipo kitandani nimekunja nne huku natikisa tikisa mguu kidogo, nasubiri atoke nimpelekee moto, mtoto mpole fulani hivi, inaelekea ni mtu wa dini sana, kasura kakitoto hivi, ana sauti tamu sana.

Endeleeni kuperuzi JF wakati mimi nikila uhondo. Hadi mida ya jioni nimsindikize kwake, uzuri ni kwamba yuko single.

Dodoma hoyeee.

Acha ushamba au ndio mara ya kwanza unaringishia,
 
Mbona kawaida sana nishaimport Sana videmu vya FB from mbeya, mwanza, Arusha ,Kenya, Malawi na kazalika.
JF wanajifanya wagumu nishakula 2 tu mmoja alilazimisha nimfate nikapata katrip ka huko nikazuga namfata mwingine alikuwa wa dsm
 
Back
Top Bottom