Yuko Bafuni Muda huu...

Yuko Bafuni Muda huu...

Nashukuru nimefika salama Dodoma nikitokea Iringa ambapo nilipata penzi motomoto, nimeamua kufikia Lodge moja hivi pande za Kisasa, hii ni kutokana na kuwa na miadi na demu wangu wa Facebook ambaye tulianza kuwasiliana kitambo sana,

Aziniye na mwanamke hana akili kabisa, pata akili ndugu uache uzinzi.
 
Kijana limbuken ww.. wakat watto wazuri kila day tunawatafuna
 
Nashukuru nimefika salama Dodoma nikitokea Iringa ambapo nilipata penzi motomoto, nimeamua kufikia Lodge moja hivi pande za Kisasa, hii ni kutokana na kuwa na miadi na demu wangu wa Facebook ambaye tulianza kuwasiliana kitambo sana, kwa taaluma ni mwalimu, saa 8 juu ya alama nimempitia kazini kwake tukaenda kula then nikamleta eneo la tukio.

Ameingia bafuni kuoga namimi nipo kitandani nimekunja nne huku natikisa tikisa mguu kidogo, nasubiri atoke nimpelekee moto, mtoto mpole fulani hivi, inaelekea ni mtu wa dini sana, kasura kakitoto hivi, ana sauti tamu sana.

Endeleeni kuperuzi JF wakati mimi nikila uhondo. Hadi mida ya jioni nimsindikize kwake, uzuri ni kwamba yuko single.

Dodoma hoyeee.

"inaelekea ni mtu wa dini sana" ila kakubali kuingia lodge kukulana na wewe mliefahamiana FB?
 
Nashukuru nimefika salama Dodoma nikitokea Iringa ambapo nilipata penzi motomoto, nimeamua kufikia Lodge moja hivi pande za Kisasa, hii ni kutokana na kuwa na miadi na demu wangu wa Facebook ambaye tulianza kuwasiliana kitambo sana, kwa taaluma ni mwalimu, saa 8 juu ya alama nimempitia kazini kwake tukaenda kula then nikamleta eneo la tukio.

Ameingia bafuni kuoga namimi nipo kitandani nimekunja nne huku natikisa tikisa mguu kidogo, nasubiri atoke nimpelekee moto, mtoto mpole fulani hivi, inaelekea ni mtu wa dini sana, kasura kakitoto hivi, ana sauti tamu sana.

Endeleeni kuperuzi JF wakati mimi nikila uhondo. Hadi mida ya jioni nimsindikize kwake, uzuri ni kwamba yuko single.

Dodoma hoyeee.

Asante kwa taarifa
 
Ndo tabia zenu , mkianza kukojoa dagaa mnakimbilia huku eti ushauri 😀😀😀 mara ooh "wakuu nimepiga kavu ila sikuchubuka nimekuja kugundua demu kaungua"
 
atakuwa bikra mtt mpolee, anyway usisahau kuleta mrejesho.
 
Wenzako wakimiliki Range usiseme wanaloga wewe endekeza papuchi... wanawake wengine nuksi
 
Back
Top Bottom