Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Aziniye na mwanamke hana akili kabisa, pata akili ndugu uache uzinzi.Nashukuru nimefika salama Dodoma nikitokea Iringa ambapo nilipata penzi motomoto, nimeamua kufikia Lodge moja hivi pande za Kisasa, hii ni kutokana na kuwa na miadi na demu wangu wa Facebook ambaye tulianza kuwasiliana kitambo sana,
"inaelekea ni mtu wa dini sana" ila kakubali kuingia lodge kukulana na wewe mliefahamiana FB?Nashukuru nimefika salama Dodoma nikitokea Iringa ambapo nilipata penzi motomoto, nimeamua kufikia Lodge moja hivi pande za Kisasa, hii ni kutokana na kuwa na miadi na demu wangu wa Facebook ambaye tulianza kuwasiliana kitambo sana, kwa taaluma ni mwalimu, saa 8 juu ya alama nimempitia kazini kwake tukaenda kula then nikamleta eneo la tukio.
Ameingia bafuni kuoga namimi nipo kitandani nimekunja nne huku natikisa tikisa mguu kidogo, nasubiri atoke nimpelekee moto, mtoto mpole fulani hivi, inaelekea ni mtu wa dini sana, kasura kakitoto hivi, ana sauti tamu sana.
Endeleeni kuperuzi JF wakati mimi nikila uhondo. Hadi mida ya jioni nimsindikize kwake, uzuri ni kwamba yuko single.
Dodoma hoyeee.
Asante kwa taarifaNashukuru nimefika salama Dodoma nikitokea Iringa ambapo nilipata penzi motomoto, nimeamua kufikia Lodge moja hivi pande za Kisasa, hii ni kutokana na kuwa na miadi na demu wangu wa Facebook ambaye tulianza kuwasiliana kitambo sana, kwa taaluma ni mwalimu, saa 8 juu ya alama nimempitia kazini kwake tukaenda kula then nikamleta eneo la tukio.
Ameingia bafuni kuoga namimi nipo kitandani nimekunja nne huku natikisa tikisa mguu kidogo, nasubiri atoke nimpelekee moto, mtoto mpole fulani hivi, inaelekea ni mtu wa dini sana, kasura kakitoto hivi, ana sauti tamu sana.
Endeleeni kuperuzi JF wakati mimi nikila uhondo. Hadi mida ya jioni nimsindikize kwake, uzuri ni kwamba yuko single.
Dodoma hoyeee.
Kpnz hata mm sijui yanKuna nini tena
ukute anachonga yote haya yumo ndan kwa shemeji yake ana maliza tu sofaHaikuwa na maana kuleta uzi kama huu [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23]Dodoma hakuna wanawake ni wazee tu wako lonely
Kuna muujiza umetokea.Huyo dada kwenye picha amefotolewa na kamera akioga na "suti ya kuogea"!Kuna nini tena
🤣🤜UnazinguaKuna muujiza umetokea.Huyo dada kwenye picha amefotolewa na kamera akioga na "suti ya kuogea"!
Kwani watu wa dini hawana hisia?Mtu wa dini alafu mko nae kwenye lodge?