Yuko wapi Adam Mchomvu?

Katkit

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2023
Posts
1,893
Reaction score
4,641

Picha: Adam Mchomvu

Baada ya lile sakata la kumpiga msanii Q Chila, ni karibu mwezi mmoja sasa sauti ya Adam Mchomvu haijapata kusikika kwenye kipindi cha XXL pale Clouds FM.

Je, amekula ban kama ya Mpwayungu kutoka kwa waajiri wake CMG au yupo likizo ya kawaida tu?
 
Halafu hii tabia ya mtu kupigwa na mwanaume mwenzio hii imekaaje, unashindwa kuokota hata mawe,

1.Mbasha alipigwa mtama na huyu jamaa

2.Q chief naye ..........

Hawa wanaopigwa wapunguze uboya
 
Adam ni Radio presenter mzuri tu ila sjui amelogwa na nani?
 
Hii nchi bana yeye ni mtumishi kwamba hawezi kua likizo kwa mujibu wa sheria?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…