Hafanyi Kwa sababu Kwa Sasa hana mamlaka hayo, Manara hajawahi kuwa na weredi na hatokuja kuwa nao, ndiomaana Kila anapopata nafasi ya kuongea ata km ni dkka chache lazima ataisema tu Simba, rejea majuzi kwenye uzinduzi wa card za wanachama alivoinannga Simba au ule mkutano ulikuwa haiu husishi club ya Yanga au sio?
Huko alipo hana tena cheo alichokuwa nacho Simba, saizi yupo chini ya Hassan Bumbuli ambae ndio Afisa habari wa yanga, na Manara yupo kama muhamasishaji tu akichukua nafasi ya Nugazi, hivo majukumu yamechange Kulingana na nafasi aliyopo so usilete habari za weledi hapa
Manara alikuwa anaisema yanga kwenye press inayohusu mambo ya Simba, wakati huo yeye akiwa kama Afisa habari wa club, kumbuka kipindi ndo ameenda yanga alipofanya media tour Kila sehemu alikuwa anaisema Simba tu hicho kipindi yanga walikuwa hawana CEO mwenye Akili? Alikuwa anaongea yaliyo kwenye mkataba?
We mara ya mwisho kuskia Haji Manara anapigiwa simu na Wasafi au EFM kuongelea mambo ya Yanga, iwe issue za usajili au anything kuhusu Yanga ni lini? So jamaa Kwa Sasa hana airtime na hana platform ya kuongelea pumba zake, media kama zimemdharau tu
Kwahiyo kuna sababu ambazo zimechangia Haji kupunguza kelele, Moja nafasi aliyonayo hapo Yanga, pili hapati airtime kama zamani,tatu viongozi wa Simba pamoja na kuwasema sana ila hawamjibu kwahiyo dizaini kama anahisi kudharauliwa so hakuna Cha weledi wala mwamedi hapo
Hapo alipo anayo mambo kibao ya kuyaongea basi tu chance ndio imekuwa ngumu kuipata, we ngoja aje kupata nafasi ya kuongea na Media yoyote kubwa ndio utajua ni jinsi gani jamaa ana kiu, anaendelea kuisema Simba kwenye Instagram page yake ila kule hapamtoshi, atapata tu chance na ataitumia vizuri