Yuko wapi aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe?

Yuko wapi aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe?

mngony

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2012
Posts
5,555
Reaction score
6,972
Wakuu kama ilivyokuwa kwa Kinana, Balozi Membe hajaonekana kwenye matukio makubwa ya kitaifa kuanzia msiba wa Hayati mpaka shughuli za kitaifa zilizofuatia

Yuko wapi? Kama sikosei muda mchache kabla ya uchaguzi alienda zake Dubai na sina kumbukumbu kama alirudi tena nchini. Nadhani hisia zake za kijasusi kipindi kile zilimshawishi ulikuwa ni wakati sahihi yeye 'kukimbia'
 
Wakuu kama ilivyokuwa kwa Kinana, Balozi Membe hajaonekana kwenye matukio makubwa ya kitaifa kuanzia msimba wa Hayati mpaka shughuli za kitaifa zilizofuata hajaonekana kabisa.
Yupo kijasusi zaidi halafu sio wa kupenda coverage sorry japo sikujibu unachotaka
 
Huyu amekufa kifo cha kisiasa baada ya "kujinyonga mwenyewe" kwa tamaa zake za kutaka kugombea urais kwa tiketi ya ACT..

Halafu Zitto mtoto wa Manyovu Kigoma akamtupilia mbali kama tissue paper iliyotumika
 
Back
Top Bottom