mngony
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 5,555
- 6,972
Wakuu kama ilivyokuwa kwa Kinana, Balozi Membe hajaonekana kwenye matukio makubwa ya kitaifa kuanzia msiba wa Hayati mpaka shughuli za kitaifa zilizofuatia
Yuko wapi? Kama sikosei muda mchache kabla ya uchaguzi alienda zake Dubai na sina kumbukumbu kama alirudi tena nchini. Nadhani hisia zake za kijasusi kipindi kile zilimshawishi ulikuwa ni wakati sahihi yeye 'kukimbia'
Yuko wapi? Kama sikosei muda mchache kabla ya uchaguzi alienda zake Dubai na sina kumbukumbu kama alirudi tena nchini. Nadhani hisia zake za kijasusi kipindi kile zilimshawishi ulikuwa ni wakati sahihi yeye 'kukimbia'