Adrian Stepp
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 2,764
- 2,591
Sijui kwanini, ila nimecheka sana! 😅Kwahiyo membe siokamanda tena hapo ufipanii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui kwanini, ila nimecheka sana! 😅Kwahiyo membe siokamanda tena hapo ufipanii
Na kafanikiwa maana wote alioshindana nao pamoja na yeye wote si marais, rais ni yule ambaye hakuwemo kwenye mchuano.Mtoto wa mjini huyo alifanya kaz kubwa kwa sasa ni kama hayupo
Mm najuaMtoto wa mjini huyo alifanya kaz kubwa kwa sasa ni kama hayupo
Unajua niniMm najua
Lini Alikua Kamanda we gurugujaKwahiyo membe siokamanda tena hapo ufipanii
Kina nani.haoKatika makachero waliofanya chini ya kiwango huyu yumo.
Bora
Mzee wa kiraracha
Mzee Maziwa Tembele sniper
Mwiifuaaa
Labda yuko ndani Kama masheik wa uhamisho, takes 8 years to get outSawa, mwache sasa apumzike.
Kipindi kile ufipani nzima mlimpigia nderemo na vifijo na kumsafisha kwa kila aina ya madodoki mlidhani tulikuwa hatuwaoniii?? Hatamkatengeneza ulemuungano feki ilimshinde walau upande wa kule mtoni. Mumesahau halaka namna hiyooo.Lini Alikua Kamanda we guruguja
Amekufa kifo cha kimwili wiki iliyopita. Mazishi yanafanyika kesho jumanne huko Rondo, Lindi.Huyu amekufa kifo cha kisiasa baada ya "kujinyonga mwenyewe" kwa tamaa zake za kutaka kugombea urais kwa tiketi ya ACT..
Halafu Zitto mtoto wa Manyovu Kigoma akamtupilia mbali kama tissue paper iliyotumika