Yuko wapi aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe?

Yuko wapi aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe?

Mtoto wa mjini huyo alifanya kaz kubwa kwa sasa ni kama hayupo
Na kafanikiwa maana wote alioshindana nao pamoja na yeye wote si marais, rais ni yule ambaye hakuwemo kwenye mchuano.
 
Katika makachero waliofanya chini ya kiwango huyu yumo.
Bora
Mzee wa kiraracha
Mzee Maziwa Tembele sniper
Mwiifuaaa
 
Membe, Kinana, Nape, Makamba, Serukamba, Ngeleja wooooote hawa ni majeruhi wa siasa chafu za shetani jiwe kutoka chato.
 
Kama alipewa kazi ya kuvuruga upinzani kwenye uchaguzi alichemsha.... alikuwa anang'ang'ana eti wapinzania waungane wote, yeye awe mgombea, akaishia kuwa mgombea wa Zitto.
 
Jasus huyo alichowafanyia watanzania kitawekwa kwenye kumbukumbu ! Mgombea ambaye hakupiga kampeni ambaye alifunga gori dakika za nyongeza na kupaa ungaibuni! Mechi aliivuruga sana huyo mzee alitoboa mpira hatimaye sub ndoo ipo jikon
 


 
Huyu amekufa kifo cha kisiasa baada ya "kujinyonga mwenyewe" kwa tamaa zake za kutaka kugombea urais kwa tiketi ya ACT..

Halafu Zitto mtoto wa Manyovu Kigoma akamtupilia mbali kama tissue paper iliyotumika
Amekufa kifo cha kimwili wiki iliyopita. Mazishi yanafanyika kesho jumanne huko Rondo, Lindi.
 
Back
Top Bottom