Yuko wapi aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe?

Kasha maliza kazi yake ya kuchomoa betri.
 
Wakuu nimeona niulize jambo hili huyu mzee jasus na mwanadiplomasia nguli yupo wapi inasemekana kwamba zile dakika 89 za kufunga goli alitoka sare ikabidi apewe dakika za nyongeza akashinda mechi baada ya kushinda mechi aliamua kwenda ungaibuni
 
Hao mifumo ya ulaji waliyokwisha jiwekea inawawezesha kuishi maisha wanayotaka. Ila adui yao mkubwa ni
1. Magonjwa
2. Umri.

Kungekuwa na uwezo wa kununua umri na kudhibiti magonjwa hakika wasingekuwa wenzetu.
 
Ahaaa, unamsema joka la mdimu.....atakuwa karudi juu ya mdimu kuwadhibiti wale wanaotaka kuangua matunda ya mdimu.
 
Jamaa jasusi kwel kweli , no comment
 
Ndio ndi ndi ndi hivi hii huwa ni nyimbo ya lady jaid et?🤸🤸🤸🤸
 
Hakuna kazi yoyote aliyopewa Membe. Huyu mmakonde ali underestimate upepo wa siasa za kibongo.

Apumzike tu
 
Sheria ya kuwanjengea mawaziri wastaafu nyumba bado haijapitishwa na bunge?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…