Yuko wapi Balozi Liberata Mulamula? Mwanadiplomasia huyu Nguli aliiweza sana Wizara ya Mambo ya Nje

Yuko wapi Balozi Liberata Mulamula? Mwanadiplomasia huyu Nguli aliiweza sana Wizara ya Mambo ya Nje

mngony

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2012
Posts
5,555
Reaction score
6,972
Nguli huyu wa Diplomasia aliitendea haki Wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa Kimataifa kutokana uzoefu uzoefu wake kama Balozi aliyewahi kutuwakilisha huko ughaibuni.

Nakumbuka alikuwa na kasi kubwa sana tangu alivyopewa majukumu ya kuongoza Wizara kabla ya kufikiwa na ' ajali ya kisiasa' na kuondolewa.

Kosa ni kurudia kosa anaweza akasemehewa kama walivyowahi kusamehewa wengine. Wizara hiyo tangu ameondolewa inaonekana kupwaya sana.
 
Kampoteza mtu mmoja muhimu sana... Aliyepo ameshindwa hadi kaundiwa jopo la kumsaidia kazi!
Angemsamee tu Mulamula nchi isingeingia hasara kubwa hivi!!
Basi sio mbaya akiona inafaa kumrudisha. Kama alimsamehe January aliyemdharau wakati wa kampeni 2015 basi naamini anaweza pia kumsamehe Balozi Mulamula
 
Hv nasikia alitolewa Kwa kuonekana close zaidi na serikali ya Biden, na kuonekana kama anafanya 'insubordination'. hahahahaa....... btw mambo ya vyeo vya kuteuliwa Africa ndo vile.. . riziki popote asikate tamaa ......
Sio kazi ya Mwanadiplomasia kuwa karibu na viongozi? Labda kama alifanya tusiyojua tofauti na yale ambayo tuliambiwa
 
Hv nasikia alitolewa Kwa kuonekana close zaidi na serikali ya Biden, na kuonekana kama anafanya 'insubordination'. hahahahaa....... btw mambo ya vyeo vya kuteuliwa Africa ndo vile.. . riziki popote asikate tamaa ......
Nasikia alitolewa sababu Mama alipandishwa daladala London.
 
Itakua karudi marekani kwenye jumba lake jipya
Sioni kama ni dhambi kuwa na nyumba mpya au kubwa, naamini zilikuwa tu juhudi za kumpa mbwa jina baya kablaa kumshambulia. Naamini kosa lake linasameheka kama wataona anahitajika
 
Sio kosa mkuu maana hata JK ana nyumba kule
Sioni kama ni dhambi kuwa na nyumba mpya au kubwa, naamini zilikuwa tu juhudi za kumpa mbwa jina baya kablaa kumshambulia. Naamini kosa lake linasameheka kama wataona anahitajika
 
Back
Top Bottom