Yuko wapi Balozi Liberata Mulamula? Mwanadiplomasia huyu Nguli aliiweza sana Wizara ya Mambo ya Nje

Kujipa udokta ama kupewa udokta bila shule hasa katikati ya uongozi kama hivyo ni dalili ya kuogopa wasomi halisi ambao wana stable informed decisions ambazo sio za kufuata upepo wa kisiasa, that type hawezi kuiva nayo ile ni magu type,
 
Mimi nakumbuka ripoti ya wizara yake aliyo isoma bungeni, iliniacha hoi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…