Tychob
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 3,972
- 5,170
Pale unaposubiri watu wafeli unashangaa wanatoboa .Ndo wewe huyoKaribuni nimesikia ni ufugaji wa majongoo bahari. Labda hiyo. Mashamba ya BBT Dodoma! Umwagilie kwa maji ya bwawa Dodoma!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale unaposubiri watu wafeli unashangaa wanatoboa .Ndo wewe huyoKaribuni nimesikia ni ufugaji wa majongoo bahari. Labda hiyo. Mashamba ya BBT Dodoma! Umwagilie kwa maji ya bwawa Dodoma!
Nawe unahangika na maneno ya taarabu badala ya kuwa analytical. Nchi hii ni waziri gani aliwahi fanikiwa ktk kilimo zaidi ya Profesa Machunda? Huyu Bashe anayeishia kununua pikipiki ili apate 10% ndo unaona anasaidia kilimo! Waliposhindwa CRDB na kilimo kwanza yeye analeta mradi mwingine wa BBT!Pale unaposubiri watu wafeli unashangaa wanatoboa .Ndo wewe huyo
Wewe na unahangaika na chuki zako tuu. Na allegations zisizo na kichwa Wala miguu, unajua saizi project ipo hatua gani. Umekalia tuu 10 %.Nawe unahangika na maneno ya taarabu badala ya kuwa analytical. Nchi hii ni waziri gani aliwahi fanikiwa ktk kilimo zaidi ya Profesa Machunda? Huyu Bashe anayeishia kununua pikipiki ili apate 10% ndo unaona anasaidia kilimo! Waliposhindwa CRDB na kilimo kwanza yeye analeta mradi mwingine wa BBT!
Tunajua lengo ni kupiga pesa ya mwarabu, tunayeambiwa ni mwekezaji mkubwa atakayezungukwa na vijana wa BBT kama manamba! Ndo hicho unachotaka nchi hii ktk kilimo?
Kwani bungeni alisoma tofauti na anachokifanya. Hatuna sababu ya kufuatilia mpango unaotoka kichwani mwa mtu mwingine. Mipango ya serikali iko ktk karatasi.Wewe na unahangaika na chuki zako tuu. Na allegations zisizo na kichwa Wala miguu, unajua saizi project ipo hatua gani. Umekalia tuu 10 %.
Hebu teleze project iko hatua gani leo hii. Tafadhari!Wewe na unahangaika na chuki zako tuu. Na allegations zisizo na kichwa Wala miguu, unajua saizi project ipo hatua gani. Umekalia tuu 10 %.