Yuko wapi D-Knob?

Yuko wapi D-Knob?

Ngoja kwanza mchumba natash
a usilonge fasta...Aaah mimi sio natasha!😍
Namkubali sana huyu jama kwenye folder labgu la bongo Old-school nina nyimbo zake kibao
Huo wimbo aliimba na Ray C, kabla Ray C hajaharibikiwa. Bonge ya ngoma moja matata sana
 
D knob ni kipaji kikubwa sana, Ila nafikiri muziki haukumlipa , jamaa alikuwa unique
 
D-knob ft Mwasiti..my fav

"Kichwa kwenye bega la..., ndinga tukicruise town.
Ni mshiko juu ya dashboard, traffic kuwacool down.
Mikasi kwenye radio, Ngwair rest in peace man.."

Long live D-knob.

-Kaveli-
 
1. Elimu mtaani,
2. Bad man,
3. Nishike mkono.

What's up Mr. Sahani na machizi wote wa Kiwalani.

-Kaveli-
 
Huyu jamaa ni kipindi saa yuko kimya, nilikuwa naelewa sana ngoma zake kama elimu mtaani dot com, na nishike mkono.

Jamaa alikuwa mgumu sana katika kila kitu mpaka lifestyle lake, ila ni ipindi sasa sijamsikia. Anayejua kama bado yu hai tafadhali.

Ni bro wng wa kitaa nipo naye yuko safi kabisa anafanya mishe zake.
 
Back
Top Bottom