Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Ohooo....! Kwamba anahubiri neno..Rafiki sana wa mwasit navyosikia na hata mwasiti alisema d knob ameokoka na anahubiri neno kwa sasa so mwacheni mtu wa mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohooo....! Kwamba anahubiri neno..Rafiki sana wa mwasit navyosikia na hata mwasiti alisema d knob ameokoka na anahubiri neno kwa sasa so mwacheni mtu wa mungu
Sahani ndio jina lake. kwa kirefu anaitwa Innocent Sahani. Nahisi ni Msukuma huyu jamaa, kwa sababu hayo ni majina maarufu sana hapa usukumani.Mdogo wetu huyu,huku kitaa tunamwita Mr.Sahani.
Huo wimbo aliimba na Ray C, kabla Ray C hajaharibikiwa. Bonge ya ngoma moja matata sanaNgoja kwanza mchumba natash
a usilonge fasta...Aaah mimi sio natasha!😍
Namkubali sana huyu jama kwenye folder labgu la bongo Old-school nina nyimbo zake kibao
Acha kutumia akili nyingi kwa ishu ndogondogo"Anayejua kama bado yu hai tafadhali"
Hiyo kauli imenifikirisha sana!
Hiyo Ngoma naipenda sanawanadai kwanini wimbo wangu una verse moja ,ya pili miyeyusho - D
D-knob ft Mwasiti..my fav
D knob ni kipaji kikubwa sana, Ila nafikiri muziki haukumlipa , jamaa alikuwa unique
Mika mwamba anadai track yangu ina malariawanadai kwanini wimbo wangu una verse moja ,ya pili miyeyusho - D
Kaokoka siku hizi ni mtu wa munguBado hakuna aliyetaja alipo
Ninazo zote hizo.Pandisha hapa Kama unazo
1- I'm bad man
2- Elimu mtaani
3 - Ningekuwa wako
5 - Mr Sahani
6- Nisike mkono
7 - Bora tumeacha a
8 - Sauti ya gharama
Ni ku pm WhatsApp # unitumieNinazo zote hizo.
Afande mkisi jite wute hiyo alisoma A level pale na kina soloAlitaja afande mkiza au Afande mkisi??
OKAfande mkisi jite wute hiyo alisoma A level pale na kina solo
Ni bro wng wa kitaa nipo naye yuko safi kabisa anafanya mishe zake.Huyu jamaa ni kipindi saa yuko kimya, nilikuwa naelewa sana ngoma zake kama elimu mtaani dot com, na nishike mkono.
Jamaa alikuwa mgumu sana katika kila kitu mpaka lifestyle lake, ila ni ipindi sasa sijamsikia. Anayejua kama bado yu hai tafadhali.
Yah man, innocent Sahani.Mdogo wetu huyu,huku kitaa tunamwita Mr.Sahani.