The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Sauti ya gharama ni hatari mzee.Sauti ya gharama na elimu mtaani kisha bad man
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sauti ya gharama ni hatari mzee.Sauti ya gharama na elimu mtaani kisha bad man
We Jamaa wewe, daaahh [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nipo wazee, kuna ngoja namalizia.
Hughaaaaaaaaaaaaah!
Haitatokea mkuu.Hivi kutakuja kutokea kizazi cha bongofleva kama hiki kweli?
D Knob
CPwaa(RIP)
Mangwea(RIP)
Matonya
Dudubaya
Mr Nice(Mzee wa TAKEU style)
Daz Baba(Daz Nundaz)
TMK Family
Tip Top Connection
Fid Q
Langa
TID
Prof Jay
Mwana FA
AY
Joh Makini
Bonta Maarifa
Chid Benz
Noorah
Na wengine wengi.
Kizazi cha hivi tutakitoa wapi tena wakuu.
Nimechoka kusikiliza hawa wabana pua kinoma, sio marapa sio waimbaji wote wanabana pua. Wazee wa SI WANAPENDA KUBANG[emoji1783]
Unforgetable
Ni mnyamwezi.Sahani ndio jina lake. kwa kirefu anaitwa Innocent Sahani. Nahisi ni Msukuma huyu jamaa, kwa sababu hayo ni majina maarufu sana hapa usukumani.
BORA TUMEACHANA D knob feat Q jay,bonge moja la ngoma
Huoni nimekosea baahti mbaya maana nyimbo zinafanana fanana????Umesoma komenti za wadau wengine walionisahihisha hapo juu?Au ni ule mwendo wa kutoana akili?We muongo
nisamehe bure, maana nilivyoona perfect anatoa boko sikukumbuka kusoma ya wadauHuoni nimekosea baahti mbaya maana nyimbo zinafanana fanana????Umesoma komenti za wadau wengine walionisahihisha hapo juu?Au ni ule mwendo wa kutoana akili?
Mshikaji very cool , nilikuwa namuonaga chuoni then akapotelea wapi sijui , kichwani kapiga unga ungaSahani ndio jina lake. kwa kirefu anaitwa Innocent Sahani. Nahisi ni Msukuma huyu jamaa, kwa sababu hayo ni majina maarufu sana hapa usukumani.
Hii ngoma kali sana mzeeUsiniache ft Maze B
Style ya kipekee sana, na sauti ya ki hip hop haswa.Mwenye nazo atusaidie na sisi tupakue. Ninemkubuka sana D-Knobna style yake ya kipekee sana.
[emoji91]Pandisha hapa Kama unazo
1- I'm bad man
2- Elimu mtaani[emoji3581]
3 - Ningekuwa wako
5 - Mr Sahani
6- Nishike mkono[emoji3581]
7 - Bora tumeacha a
8 - Sauti ya gharama[emoji3581]
[emoji3581]Nilizopata
Zidondoshe hapa mkuu
nmejaribu,Jf inagoma ku upload file ya audioZidondoshe hapa mkuu