Yuko wapi D-Knob?


Tatizo lake ni mama huruma, anamaindi kujivinjari na vingi visupa staa!

Sasa hivi adabu anayo, tangu anikute na mdogo wake wa mwisho mi namrukia juu ya kitanda cha mama yao wa kambo!

Uhh AAHH!!
 
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Duu huyu mwamba aliua kwenye nishike mkono ft Mwasiti ngoma Kali sana!
Hajawahi kuharibu

Tangu enzi za mtaani .com

Sauti ya gharama . Nishike mkono . Kitu gani ft q Jay
Jamaa anajua Sana ila ndio hivyo soko la muziki wa tz Ni faken
 
Unaitwa Bora tumeacha, mwenye linki ya kui download au anayo aipandishe hapa basi......


Mkuu unaweza uka download wimbo wowote unaotaka kwenye simu au laptop kutoka youtube au source nyingine kupitia website tu
 
Rafiki sana wa mwasit navyosikia na hata mwasiti alisema d knob ameokoka na anahubiri neno kwa sasa so mwacheni mtu wa mungu


Basi atakuwa kachanyikiwa au anataka kuibia watu.
 
Sauti yangu ya gharama ni kama sumaku hivi, inaleta marafiki, inaleta maadui.

Iko mzigoni kutokana na Elimu Mitaani, niliwaingiza darasani sasa nawapa burudani!

Uuh khhaaaa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…