wakuwawish ni hawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee siku ya wababa hujaona akimsifia baba tamu ake?
Mama kija in da house.
[emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niwacheee nilikua bizze na baba tamu angu, si unajua j2 ilikua siku yao, weraaaaaah weraaaaah.
Naipenda ndoa angu, shooozzzz, woiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wakuwawish ni hawa View attachment 2267400
huyo aliye muwish hajui ubaba.
anyway
si tunataka picha zake kazini.
ye tushamzoea anafanyaga kazi kwenye camera.
Umepatwa na nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji848][emoji848]
Ni kweli kuwa mama sio kitu kidogo...ni zawadi kutoka kwa Allah[emoji120]Kuwa mama, badala ya kuitwa J.... ataitwa mama juniors. Mfano tuu.
Nenda istagram, last week tu alikuwa anapokea pikipiki huko temeke, kapendeza na gauni lake refutunataka picha yake za harakati kazini
Mwache DC wetu katulia sana siku hizi.Ana hasbandi au mali ya mtu?
Na amuondolee Fedheha tu tafadhali tunamheshim Mama K.New single mother in town
Hope baba kijacho atakua muelewa na kutimiza lile jambo kubwa pale st peter
uko sahihi,, mimi namfatiliaga sana, coz ananipa changamoto nisibweteke,, yaani nikipita kwenye page yake sikosi kujifunza kitu,, anapiga kazi huku akiwa smart apeaence adi raha,,,Na amuondolee Fedheha tu tafadhali tunamheshim Mama K.
Nakaheshim Sana kale kabint basi hakajui tu
uko sahihi,, mimi namfatiliaga sana, coz ananipa changamoto nisibweteke,, yaani nikipita kwenye page yake sikosi kujifunza kitu,, anapiga kazi huku akiwa smart apeaence adi raha,,,
uwaza asie kuwazaNjiulizaga, Kwa nn vijana wenzangu ambayo hamjao KWANINI hawamstiri?? Angekuwa wazi ningemuoa akiwa mke wa pili.. mbona sio ajabu??
Anicheki tu inbox nampenda Sana Kidoti kwahali yyt ile you deserve marriage and respect
Watawezena kweli?Mbona yupo, hata juzi siku ya baba duniani alimpost Fred
Anajiaandaa kuwa Rc wa Mkoa wa Dar.
Huyu cerebrty mara ya mwisho kupost ni may 9 2022. Followers wake tulishazoea kupata habari motomoto hasahasa tangu apate u DC ila hivi sasa ukimya wake ndani ya mwezi bila post kunani?
Mungu atupe uhai tuje tuone kama watawezana au la!Watawezena kweli?
Mmatengo na mkinga.... combination nzuri.Mie nna furaha mnoo, mlongo wetu kuwa na ka baby, niandae baby kits mie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo wakinga hawa wana tabia ilee, sijui km wataelewana.Mmatengo na mkinga.... combination nzuri.