Yuko wapi DC wetu na celebrity huyu?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee siku ya wababa hujaona akimsifia baba tamu ake?

Mama kija in da house.
wakuwawish ni hawa
huyo aliye muwish hajui ubaba.


anyway

si tunataka picha zake kazini.
ye tushamzoea anafanyaga kazi kwenye camera.
 
Na amuondolee Fedheha tu tafadhali tunamheshim Mama K.


Nakaheshim Sana kale kabint basi hakajui tu
uko sahihi,, mimi namfatiliaga sana, coz ananipa changamoto nisibweteke,, yaani nikipita kwenye page yake sikosi kujifunza kitu,, anapiga kazi huku akiwa smart apeaence adi raha,,,
 
Njiulizaga, Kwa nn vijana wenzangu ambayo hamjao KWANINI hawamstiri?? Angekuwa wazi ningemuoa akiwa mke wa pili.. mbona sio ajabu??

Anicheki tu inbox nampenda Sana Kidoti kwahali yyt ile you deserve marriage and respect
uko sahihi,, mimi namfatiliaga sana, coz ananipa changamoto nisibweteke,, yaani nikipita kwenye page yake sikosi kujifunza kitu,, anapiga kazi huku akiwa smart apeaence adi raha,,,
 
shida unm
Njiulizaga, Kwa nn vijana wenzangu ambayo hamjao KWANINI hawamstiri?? Angekuwa wazi ningemuoa akiwa mke wa pili.. mbona sio ajabu??

Anicheki tu inbox nampenda Sana Kidoti kwahali yyt ile you deserve marriage and respect
uwaza asie kuwaza

niliuelewaga vzr uzi wa da vinc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…