Yuko wapi Dj Mafuvu wa EATV na EA Redio??

Yuko wapi Dj Mafuvu wa EATV na EA Redio??

Mkuu umeongea kweli sana aisee, ila punguza hasira daaah!
Exposure unayopata ukiwa unasikika redioni ni kubwa mno. Maana unawapa mwanya watu na mashabiki kukukubali and guess what kama watu wanakukubali? Ile tayari ni CV kubwa tu ambayo kwa mda mchache ingeweza kumpatia mafanikio makubwa. Sasa sahiv anapiga kwenye hizo club anasikika na kina nani? Hata kama anapata pesa? Na isitoshe alivokuwa eatv pia alikuwa anapiga kwenye hizo clubs maana mda alikuwa nao. Hili ndo tatizo la wabongo wengi wanapohisi kuonewa badala ya kupambana na ku justify their claims wao wanaamua ku quit. Sasa yupo wapi?? Fucking shit..
 
Kupiga radioni ni muhimu sana. Labda ana sababu zake za kutopiga kwasasa ...huu ndio wakati wake autumie sasa
 
Exposure unayopata ukiwa unasikika redioni ni kubwa mno. Maana unawapa mwanya watu na mashabiki kukukubali and guess what kama watu wanakukubali? Ile tayari ni CV kubwa tu ambayo kwa mda mchache ingeweza kumpatia mafanikio makubwa. Sasa sahiv anapiga kwenye hizo club anasikika na kina nani? Hata kama anapata pesa? Na isitoshe alivokuwa eatv pia alikuwa anapiga kwenye hizo clubs maana mda alikuwa nao. Hili ndo tatizo la wabongo wengi wanapohisi kuonewa badala ya kupambana na ku justify their claims wao wanaamua ku quit. Sasa yupo wapi?? Fucking shit..
Ila Kaka pale ni njaa. Yaani utaratibu wa kuona kwamba wewe mchango wako mkubwa akuongeze maslahi ni ngumu sana, pale jina tu lakini ujira hamna. Hivi unakumbuka mtangazaji maarufu wa habari Rehema Mwakangale (Rip) alipokufa ndio ikafichuka hali halisi ya ajira yake?
 
Ila Kaka pale ni njaa. Yaani utaratibu wa kuona kwamba wewe mchango wako mkubwa akuongeze maslahi ni ngumu sana, pale jina tu lakini ujira hamna. Hivi unakumbuka mtangazaji maarufu wa habari Rehema Mwakangale (Rip) alipokufa ndio ikafichuka hali halisi ya ajira yake?
hali halisi ya ajira ya hayati rehema ilikuwaje
 
jamaa yangu hapo/Naantombe Mushi/naona unachozungumzia ni nadharia.unajua kwa nini dj fetty aliamua kuacha kazi pale clauds.au uliamini kilichoandikwa na kusemwa mbele ya media.kaka mjini hapana kijana anayekubali kuwa msindikizaji linapokuja suala la mafanikio.na kutumiwa..unakuta mfanyakazi katika ofisi fulani mvuto sana kiasi cha kutangaza kampuni husika..ila unufaikaji wake na mvuto alionao haviendani..sasa kwa nini asitumie character yake kujiajir.mafuvu alikuwa anatoa hela yake mfukoni kununua vifaa vya kisasa pale eatv ili ajibrand lakini ofisi haimsupport kwa lolote...ni mengi..ila kiufupi jua jamaa ni level nyingine kwa sasa.
 
Back
Top Bottom