Yuko wapi Emmanuel Buhohela?

WAMMA Dodoma? Kuna mmoja alikuwa ustawi wa jamii Dodoma wakati wa WaterAid, Maendeleo ya Jamii, Maji na Afya aliitwa Kudra. Nasikia naye alipewa u DC. Mhu chichemi.
 
Jamaa huyo akitumwa kutoa habari za uongo ziaminike kama ni kweli anaongea hadi kwa kigugmizi i huku macho yake yakiwa hayatulii kama kafumaniwa.
 
Huyo jamaa walikuwa marafiki na Magu hata kabla ya kuanza kampeni.
 
ndo siasa bna, nakumbuka mkutano magu kule monduli haukuonyeshwa kabsa. waliishia kumuonyesha akihutubia Arusha. mtumikie kafiri... vp michuz stly yupo ikulu??
 
Wapo wengi walitokea kwa style hiyo hiyo wengine wamefika hadi RC...uliza Dada yetu alietoka WAMA hadi RC....nae alizunguka na Mama wa 1 mstaafu alipomaliza tu akaanzia DC hadi akafika RC! Acheni Buho nae ale jasho lake!

funguka bna, itupe huo udakuuu
 
Ile kurugenzi inahitaji pia mtu anayeweza propaganda. Sijui ile kurugenzi imeanzishwa kwa utaratibu upi lakini inapendeza sana iwapo watumishi wake watakuwa wanamfahamu in detail bosi wao
 
Yupo Magogoni tangu baada ya uchaguzi
 
jamaa nampendaa sana hasa kwenye kile kipindi cha 45mn jamaa anaweza muacha ale maisha
 
Buhohela alikuwa ITV na sasa ikulu,bila shaka kazi yake ilikuwa nzuri chini ya uongozi wa ITV ndio maana akaonekana kwa wakubwa, nawashangaa sana wanao mbeza Mengi kuwa hakuisaidia ccm,hongera ITV/radio one mpo fair sana.
 
Amefanikiwa kulinganisha na alikokuwa, ila kulinganisha na enzi za mzee wa msoga ni njaa tupu sababu mzee wa hapa kazi tu akienda mbali yuko chato, sasa foreign perdiem zitatoka wapi, haya ndo mojawapo ya madhara ya majipu.
 
SiJambo mkuu "... Miwani yao katikati ya pua utadhani pua ndo haioni" hapo Nimechecka mkuu thnx kwa taarrifa ya buho
 
SiJambo mkuu "... Miwani yao katikati ya pua utadhani pua ndo haioni" hapo Nimechecka mkuu thnx kwa taarrifa ya buho
Mkuu hiyo sehemu hata mimi nimecheka sana
 
Buhoela Ni Kati ya watangazaji ambao hawajawahi kunivutia.
Sasa unamfananisha na yule kampeni MANAJOR UCHWARA WA EDO john MREMA yule alikuwa anahutubia kwa kichagaa pale jangwani KWA kuunganisha clip za nyerere WATANZANIA WANATAKA MABADILIKO WAS... Yapta ndani ya ccm watayatafuta nje ya CCM
 
Hadithi ndefu ya nini,lengo nitujue
Imma yuko ikulu kikazi tunashukuru wengi waelewa humu usijichoshe siku nyingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…