klorokwine
JF-Expert Member
- Nov 4, 2014
- 378
- 31
huyo bibi ata sitaki msikia kabisaa ikiwezekana ale ban ya miaka mia 90000
Umekuja mbio mbio ulivyoona nimetajwa juu hapo.
You hate to like me.
Bila shaka unamzimikia bidada unashindwa kuweka wazi....feel free!! mwambie unampenda na unahamu naye
Jana alikuwepo humu kachangia weeeeee we huoni??
Hayo kama hayukuniona hayana raha, halafu yanajidai tu.
Lakini nawapenda sana, wale wote wanaojidai kunikejeli humu ndio hao hao nilipopigwa ban walikuwa wa mwanzo kuniombea na kunitetea nirudishwe.
Wanajuwa wakinikosa panakuwa boring.
kumbe ulipigwagwa ban pole ndugu natamani nikujue ata sura tuu nitakua nimeridhika mwenyewe sikupendagi basi tuu sijui kwa nini but nkiona sura yako naweza badili mawazo
We ukitaka aje mbio iseme vibaya ccm na all caida, hawezi vumilia atatokea tu
Hayo kama hayukuniona hayana raha, halafu yanajidai tu.
Lakini nawapenda sana, wale wote wanaojidai kunikejeli humu ndio hao hao nilipopigwa ban walikuwa wa mwanzo kuniombea na kunitetea nirudishwe.
Wanajuwa wakinikosa panakuwa boring.
Pole sana;
Binafsi nilikuwa sina taarifa kama ulipewa BAN. Ndio maisha ya ndani ya mitandao.
Lakini isiwe sababu ya kupotea muda mrefu hadi members tunaanza kuwa na hofu juu yako.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!