Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,988
- 6,226
Ukiona au ukisikia unaulizwa jua unapendwaHayo kama hayakuniona hayana raha, halafu yanajidai tu.
Lakini nawapenda sana, wale wote wanaojidai kunikejeli humu ndio hao hao nilipopigwa ban walikuwa wa mwanzo kuniombea na kunitetea nirudishwe.
Wanajuwa wakinikosa panakuwa boring.
Just say Alhamdulillah..