Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,287
Mmmh huyu bibi nna mashaka nae al qaida ina muhusu nini sasaWe ukitaka aje mbio iseme vibaya ccm na all caida, hawezi vumilia atatokea tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh huyu bibi nna mashaka nae al qaida ina muhusu nini sasaWe ukitaka aje mbio iseme vibaya ccm na all caida, hawezi vumilia atatokea tu
Mmmh huyu bibi nna mashaka nae al qaida ina muhusu nini sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We ukitaka aje mbio iseme vibaya ccm na all caida, hawezi vumilia atatokea tu
Ha ha ana Rader inafanya udakuzi wa thread zote za kidini/uislam si bure.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo inamuhusu Hillary, msikilize:
Hivi "ban" ni kifungo?Hayo kama hayakuniona hayana raha, halafu yanajidai tu.
Lakini nawapenda sana, wale wote wanaojidai kunikejeli humu ndio hao hao nilipopigwa ban walikuwa wa mwanzo kuniombea na kunitetea nirudishwe.
Wanajuwa wakinikosa panakuwa boring.
Hivi "ban" ni kifungo?
kaolewa kaamua kutulia sasaWakuu,
Ni kitambo kidogo sijaona akichangia au akianza mada hapa JF member mwenzetu FaizaFoxy Au pengine yuko jimboni anaomba ridhaa ya wananchi wake?
kaolewa kaamua kutulia sasa
Wakuu,
Ni kitambo kidogo sijaona akichangia au akianza mada hapa JF member mwenzetu FaizaFoxy Au pengine yuko jimboni anaomba ridhaa ya wananchi wake?
Atakauwa yuko central tu huyu.
Sitaki uwa wala ua.
Mkuu umeongea cha kutoka moyoni, yaani upo kama mimi kuhusu huyu mamakumbe ulipigwagwa ban pole ndugu natamani nikujue ata sura tuu nitakua nimeridhika mwenyewe sikupendagi basi tuu sijui kwa nini but nkiona sura yako naweza badili mawazo
kuhororoja kama ni matusi mwenyewe nawe pia unahororoja!!!Wacha kuhororoja na kubwabwaja bila mpango. Kuolewa kwetu mwiko.
Ahsante kwa ufafanuzi, lakini kwa jinsi ilivyo tumiwa na mdau mmoja haviendani !!??Hapana, kifungo ni button.
natamani huyu faizafoxy apewe moderator humu JF....
kwa jinsi alivyo makini....
watu watakuwa hawaleti threads za kipuuzi bhana.....[emoji1] [emoji1] ..watanyooka...Bora wasinipe, wengi watalamba ban zangu.
Kwi kwi kwi teh teh teh.