Yuko wapi Henry Kisanduku aliyemnyooshea Nape bastola?

Yuko wapi Henry Kisanduku aliyemnyooshea Nape bastola?

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Mzuka wanajamvi!


2786645_1621941352575.png
Huyu jamaa alikuwa 'shortsighted'. Wenzake aliotumwa nao walikuwa wataratibu sana yeye kimbelembele. Sasa leo Nape kateuliwa tena kwenye Ile nafasi.

Pia Nape asingekuwa wazir tena leo kama asingejishusha na kunyenyekea kwa Jiwe siku ile akitembeza huku akirekodiwa jasho likimtoka magogoni. Jiwe angempoteza kabisa na ubunge asingeupata tena.

Siasa za Tanzania siyo burudani tu bali tunajifunza jinsi maisha yalivyo.

Mrisho Gambo naye namsifu Sana. Alishaanzaga za kibashite bashite baadaye akashtuka akawa anaenda taratibu.

Sasa sijui huyu Hapi atapona kwa mshika remote? Labda 'imani' yake huenda ikamuokoa.

Tukanyage ardhi ya Mungu kwa nidhamu.

A French saying:

Those who lose today Will win Tomorrow!
 
Na yuko wapi Maulid Kitenge aliyemthibiti Kisanduku

Hakuna kitu cha muhimu kwenye maisha kama kujua kwamba kuna kesho na kuelewa kwamba mambo ya leo sio ya kesho.

Kisanduku Kisanduku😆😆
 
Hadi kuna siku Prince aliongea kwa hisia sana aliposema yani jamaa walimtoa shimoni wakaweka kwenye spotlight baadaye kawageuka. Namsifu sana huyu msomali Bashe licha ya figisu Mshika remote na mzee makamba walimfanyia dhidi yake wakamchomeka Kigwa Nzega jamaa alitulia tu . Aliamua kucheza karata zake vizuri.
😆😊😃Amerudi tena shimoni.
 
Halafu kuna wale maafande vijana waliokuwa wanatafuta sifa za kijinga kwa kutishia kumpiga risasi Adam Malima.

Nataka nijue wako wapi hivi sasa. Walipandishwa vyeo baada ya tukio lile? Walisimamishwa kazi? Waliondolewa Dar na kupelekwa mikoa mingine?.

Ila kama taifa tulifika pabaya sana, Mungu alifanya vyema kutuondolea yule shetani.
 
halafu kuna wale maafande vijana waliokuwa wanatafuta sifa za kijinga kwa kutishia kumpiga risasi adam malima.

nataka nijue wako wapi hivi sasa. walipandishwa vyeo baada ya tukio lile?. walisimamishwa kazi?,waliondolewa dar na kupelekwa mikoa mingine?.

ila kama taifa tulifika pabaya sana, Mungu alifanya vyema kutuondolea yule shetani.
https://youtu.be/RvZWCXJWdDI
Hii ilikua kali kweli cjui ilinipitaje?ama nilikua nje may be....kosa la malima lilikua nini?
 
halafu kuna wale maafande vijana waliokuwa wanatafuta sifa za kijinga kwa kutishia kumpiga risasi adam malima.

nataka nijue wako wapi hivi sasa. walipandishwa vyeo baada ya tukio lile?. walisimamishwa kazi?,waliondolewa dar na kupelekwa mikoa mingine?.

ila kama taifa tulifika pabaya sana, Mungu alifanya vyema kutuondolea yule shetani.
https://youtu.be/RvZWCXJWdDI
Yes huyo huyo Mungu hakika áta ufyekerea mbali ukoo wako wote wa kishetani ni swala la muda mashetani wote lazima muishe
 
Back
Top Bottom