Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hadi uwe na akili lakiniNa yuko wapi Maulid Kitenge aliyemthibiti Kisanduku
Hakuna kitu cha muhimu kwenye maisha kama kujua kwamba kuna kesho na kuelewa kwamba mambo ya leo sio ya kesho.
Kisanduku Kisanduku😆😆
Sahau hilo katiba ya ccm inampa Mwenyekiti mamlaka yote ya kumiliki chama.Mama akumbuke kwamaba 2025 wanaccm wote tuna haki sawa ya kugombea, hana ujanja.
Mwaka 2025 sio mwaka wa kuchapisha form 1 ya urais, ni form kama zote na mimi nachukua.
halafu kuna wale maafande vijana waliokuwa wanatafuta sifa za kijinga kwa kutishia kumpiga risasi adam malima.
nataka nijue wako wapi hivi sasa. walipandishwa vyeo baada ya tukio lile?. walisimamishwa kazi?,waliondolewa dar na kupelekwa mikoa mingine?.
ila kama taifa tulifika pabaya sana, Mungu alifanya vyema kutuondolea yule shetani.
Mende kama wewe huleti taabu ni matope ya ujinga utayaosha tuhuna akili.
Inahitaji akili kubwa kuelewa uhuru, utii na mamlaka ya uteuzi, Kisanduku alikuwa sahihi kbsa.Alivunja katiba au unaandika tu kututisha?
.Mende kama wewe huleti taabu ni matope ya ujinga utayaosha tu
.Inahitaji akili kubwa kuelewa uhuru, utii na mamlaka ya uteuzi, Kisanduku alikuwa sahihi kbsa.
Akili kubwa ukikuwa utaelewa ondoa closed mind
Ukiruhusu akili ijifunze ndio utaelewa
Sasa ukifahamu yupo wapi unatafanya nini? FoolMzuka wanajamvi!
View attachment 2074141
View attachment 2074142
Huyu jamaa alikuwa 'shortsighted'. Wenzake aliotumwa nao walikuwa wataratibu sana yeye kimbelembele. Sasa leo Nape kateuliwa tena kwenye Ile nafasi.
Pia Nape asingekuwa wazir tena leo kama asingejishusha na kunyenyekea kwa Jiwe siku ile akitembeza huku akirekodiwa jasho likimtoka magogoni. Jiwe angempoteza kabisa na ubunge asingeupata tena.
Siasa za Tanzania siyo burudani tu bali tunajifunza jinsi maisha yalivyo.
Mrisho Gambo naye namsifu Sana. Alishaanzaga za kibashite bashite baadaye akashtuka akawa anaenda taratibu.
Sasa sijui huyu Hapi atapona kwa mshika remote? Labda 'imani' yake huenda ikamuokoa.
Tukanyage ardhi ya Mungu kwa nidhamu.
A French saying:
Those who lose today Will win Tomorrow!
Wrong packing, malima akapewa uRC hapohapoHii ilikua kali kweli cjui ilinipitaje?ama nilikua nje may be....kosa la malima lilikua nini?
Yuko wapi Harmorapa aliye shuhudia kisanduku LiveMzuka wanajamvi!
View attachment 2074141
View attachment 2074142
Huyu jamaa alikuwa 'shortsighted'. Wenzake aliotumwa nao walikuwa wataratibu sana yeye kimbelembele. Sasa leo Nape kateuliwa tena kwenye Ile nafasi.
Pia Nape asingekuwa wazir tena leo kama asingejishusha na kunyenyekea kwa Jiwe siku ile akitembeza huku akirekodiwa jasho likimtoka magogoni. Jiwe angempoteza kabisa na ubunge asingeupata tena.
Siasa za Tanzania siyo burudani tu bali tunajifunza jinsi maisha yalivyo.
Mrisho Gambo naye namsifu Sana. Alishaanzaga za kibashite bashite baadaye akashtuka akawa anaenda taratibu.
Sasa sijui huyu Hapi atapona kwa mshika remote? Labda 'imani' yake huenda ikamuokoa.
Tukanyage ardhi ya Mungu kwa nidhamu.
A French saying:
Those who lose today Will win Tomorrow!
Gambo alikuwa hakubaliani na JPM na ndio mana akaamua kuuacha u RC na kugombea ubunge japo JPM alimtisha lakini hakurudi nyuma.Mzuka wanajamvi!
View attachment 2074141
View attachment 2074142
Huyu jamaa alikuwa 'shortsighted'. Wenzake aliotumwa nao walikuwa wataratibu sana yeye kimbelembele. Sasa leo Nape kateuliwa tena kwenye Ile nafasi.
Pia Nape asingekuwa wazir tena leo kama asingejishusha na kunyenyekea kwa Jiwe siku ile akitembeza huku akirekodiwa jasho likimtoka magogoni. Jiwe angempoteza kabisa na ubunge asingeupata tena.
Siasa za Tanzania siyo burudani tu bali tunajifunza jinsi maisha yalivyo.
Mrisho Gambo naye namsifu Sana. Alishaanzaga za kibashite bashite baadaye akashtuka akawa anaenda taratibu.
Sasa sijui huyu Hapi atapona kwa mshika remote? Labda 'imani' yake huenda ikamuokoa.
Tukanyage ardhi ya Mungu kwa nidhamu.
A French saying:
Those who lose today Will win Tomorrow!z
Ni Nani huyo aliyekua hajui Kuna kesho?Na yule aliesema "Mama mkanye mwanao" kwenye iliyoitwa "vita dhidi ya dawa za kulevya"
Sasa "Mwana" kapewa unaibu. Na "Baba" kashika remote ya usukani wa nchi. Na "Mama" yupo mjengoni.
Yeye....
Daudi BashiteNi Nani huyo aliyekua hajui Kuna kesho?