Yuko wapi Henry Kisanduku aliyemnyooshea Nape bastola?

Yuko wapi Henry Kisanduku aliyemnyooshea Nape bastola?

Still gambo haumsaidii kitu ukishaharibu cv yako kwa Jamii hairudi
 
Na yuko wapi Maulid Kitenge aliyemthibiti Kisanduku


Hakuna kitu cha muhimu kwenye maisha kama kujua kwamba kuna kesho na kuelewa kwamba mambo ya leo sio ya kesho.

Kisanduku Kisanduku😆😆
Ni hadi uwe na akili lakini
 
halafu kuna wale maafande vijana waliokuwa wanatafuta sifa za kijinga kwa kutishia kumpiga risasi adam malima.

nataka nijue wako wapi hivi sasa. walipandishwa vyeo baada ya tukio lile?. walisimamishwa kazi?,waliondolewa dar na kupelekwa mikoa mingine?.

ila kama taifa tulifika pabaya sana, Mungu alifanya vyema kutuondolea yule shetani.

Tamaa ya harrier iliwaponza vijana, wengine ni walemavu kwa upumbavu wao aliyewatuma kafa yamebaki na ulemavu wa kujitakia
 
Mende kama wewe huleti taabu ni matope ya ujinga utayaosha tu
.
giphy.gif
 
Mzuka wanajamvi!

View attachment 2074141
View attachment 2074142
Huyu jamaa alikuwa 'shortsighted'. Wenzake aliotumwa nao walikuwa wataratibu sana yeye kimbelembele. Sasa leo Nape kateuliwa tena kwenye Ile nafasi.

Pia Nape asingekuwa wazir tena leo kama asingejishusha na kunyenyekea kwa Jiwe siku ile akitembeza huku akirekodiwa jasho likimtoka magogoni. Jiwe angempoteza kabisa na ubunge asingeupata tena.

Siasa za Tanzania siyo burudani tu bali tunajifunza jinsi maisha yalivyo.

Mrisho Gambo naye namsifu Sana. Alishaanzaga za kibashite bashite baadaye akashtuka akawa anaenda taratibu.

Sasa sijui huyu Hapi atapona kwa mshika remote? Labda 'imani' yake huenda ikamuokoa.

Tukanyage ardhi ya Mungu kwa nidhamu.

A French saying:

Those who lose today Will win Tomorrow!
Sasa ukifahamu yupo wapi unatafanya nini? Fool
 
Mzuka wanajamvi!

View attachment 2074141
View attachment 2074142
Huyu jamaa alikuwa 'shortsighted'. Wenzake aliotumwa nao walikuwa wataratibu sana yeye kimbelembele. Sasa leo Nape kateuliwa tena kwenye Ile nafasi.

Pia Nape asingekuwa wazir tena leo kama asingejishusha na kunyenyekea kwa Jiwe siku ile akitembeza huku akirekodiwa jasho likimtoka magogoni. Jiwe angempoteza kabisa na ubunge asingeupata tena.

Siasa za Tanzania siyo burudani tu bali tunajifunza jinsi maisha yalivyo.

Mrisho Gambo naye namsifu Sana. Alishaanzaga za kibashite bashite baadaye akashtuka akawa anaenda taratibu.

Sasa sijui huyu Hapi atapona kwa mshika remote? Labda 'imani' yake huenda ikamuokoa.

Tukanyage ardhi ya Mungu kwa nidhamu.

A French saying:

Those who lose today Will win Tomorrow!
Yuko wapi Harmorapa aliye shuhudia kisanduku Live
 
Mara ya mwisho nilikutana nae Chato kipindi cha Buriani, hakuwa analia ila macho yake yaliongezeka wekundu na pia alishusha sana kofia yake ya kepu ya kaki na jinsi ya buluu iliyochomekwa shati nyeupe mikono mirefu. Kwa miaka 2 hii sijawahi onana nae tena ila bado ni Tiss japo atumiki tena kwa mishe ngumu. Kwa kumalizia,Anaishi kwa machale sana siku hizi na amekuwa mtu wa dini kiaina.
 
Mzuka wanajamvi!

View attachment 2074141
View attachment 2074142
Huyu jamaa alikuwa 'shortsighted'. Wenzake aliotumwa nao walikuwa wataratibu sana yeye kimbelembele. Sasa leo Nape kateuliwa tena kwenye Ile nafasi.

Pia Nape asingekuwa wazir tena leo kama asingejishusha na kunyenyekea kwa Jiwe siku ile akitembeza huku akirekodiwa jasho likimtoka magogoni. Jiwe angempoteza kabisa na ubunge asingeupata tena.

Siasa za Tanzania siyo burudani tu bali tunajifunza jinsi maisha yalivyo.

Mrisho Gambo naye namsifu Sana. Alishaanzaga za kibashite bashite baadaye akashtuka akawa anaenda taratibu.

Sasa sijui huyu Hapi atapona kwa mshika remote? Labda 'imani' yake huenda ikamuokoa.

Tukanyage ardhi ya Mungu kwa nidhamu.

A French saying:

Those who lose today Will win Tomorrow!z
Gambo alikuwa hakubaliani na JPM na ndio mana akaamua kuuacha u RC na kugombea ubunge japo JPM alimtisha lakini hakurudi nyuma.
Gambo ni chaguo la wananchi na amekuwa akijipambanua bungeni.
 
Na yule aliesema "Mama mkanye mwanao" kwenye iliyoitwa "vita dhidi ya dawa za kulevya"

Sasa "Mwana" kapewa unaibu. Na "Baba" kashika remote ya usukani wa nchi. Na "Mama" yupo mjengoni.

Yeye....
Ni Nani huyo aliyekua hajui Kuna kesho?
 
Tusimlaumu Kisanduku.
Hakua na proper training ya hiyo kazi.
Hawa Ni wale waliojitolea jkt miaka Saba Kisha wakawa sekonded kwenda idara nyeti.
Wale wa kipindi Cha Nyerere wasingefanya huo upuuzi hadharani.
Mzena was a super spy trainer.
 
Back
Top Bottom