Yuko wapi Henry Kisanduku aliyemnyooshea Nape bastola?

Yuko wapi Henry Kisanduku aliyemnyooshea Nape bastola?

Kwa jiwe tulishuhudia mengi,kwa maza tutashuhudia mengi zaidi... Riz waziri?
 
Nape ilifaa apewe uwaziri mambo ya ndani Ili awasake wahuni wa bashite wote watueleze wasiojulikana ni kina nani
Good luck aya ushamjua utamfanya nini?
 
halafu kuna wale maafande vijana waliokuwa wanatafuta sifa za kijinga kwa kutishia kumpiga risasi adam malima.

nataka nijue wako wapi hivi sasa. walipandishwa vyeo baada ya tukio lile?. walisimamishwa kazi?,waliondolewa dar na kupelekwa mikoa mingine?.

ila kama taifa tulifika pabaya sana, Mungu alifanya vyema kutuondolea yule shetani.
https://youtu.be/RvZWCXJWdDI
What a dumbass!!

Sasa unamlaumu MAGUFULI kwa lipi? Au hujui kwamba ni yeye aliyemteua Adam Malima?
 
What a dumbass!!
.
giphy.gif
 
Kitenge ni TISS
Na yuko wapi Maulid Kitenge aliyemthibiti Kisanduku


Hakuna kitu cha muhimu kwenye maisha kama kujua kwamba kuna kesho na kuelewa kwamba mambo ya leo sio ya kesho.

Kisanduku Kisanduku[emoji38][emoji38]
 
Mna haki sawa ya kugombea nini?
Mama akumbuke kwamaba 2025 wanaccm wote tuna haki sawa ya kugombea, hana ujanja.

Mwaka 2025 sio mwaka wa kuchapisha form 1 ya urais, ni form kama zote na mimi nachukua.
 
Kisanduku alikuwa anatimiza maagizo ya Wakubwa.. Ni Mbwa tu alitumwa kubweka..

Hapa tuulizane yuko wapi aliyemtuma yule Mbwa kumbwekea Nape?
 
Usalama ni usalama , waziri ni waziri , usalama ni chombo kikubwa akiingiliwi kina siri kubwa tukiheshimu.
Usalama ni kwa ajili usalama na si kwa ajili kutenda jinai.

Kunyosheana mitutu ya bunduki hiyo ni kazi ya polisi wakiwa katika hali ya kukamata kwa kutumia nguvu, lakini si kwa wana usalama.

Wanausalama kazi yao ya msingi ni "kuchoma" na si kukamata wala kunyooshea mtu bunduki.

Akiburuzwa mahakamani atajitetea kivyake mwenyewe na mawakili wake, hakuna yeyote hata aliyemtuma atakayeonesha pua lake kumtetea.

Mfano hai ni kwa Sabaya, hapo vipi, tupo pamoja'eeh?
 
Na mwenyekiti wa hiyo ccm na katibu ni nani. Mnajichekesha kama Ndugai tu
Mama akumbuke kwamaba 2025 wanaccm wote tuna haki sawa ya kugombea, hana ujanja.

Mwaka 2025 sio mwaka wa kuchapisha form 1 ya urais, ni form kama zote na mimi nachukua.
 
Mzuka wanajamvi!

View attachment 2074141
View attachment 2074142
Huyu jamaa alikuwa 'shortsighted'. Wenzake aliotumwa nao walikuwa wataratibu sana yeye kimbelembele. Sasa leo Nape kateuliwa tena kwenye Ile nafasi.

Pia Nape asingekuwa wazir tena leo kama asingejishusha na kunyenyekea kwa Jiwe siku ile akitembeza huku akirekodiwa jasho likimtoka magogoni. Jiwe angempoteza kabisa na ubunge asingeupata tena.

Siasa za Tanzania siyo burudani tu bali tunajifunza jinsi maisha yalivyo.

Mrisho Gambo naye namsifu Sana. Alishaanzaga za kibashite bashite baadaye akashtuka akawa anaenda taratibu.

Sasa sijui huyu Hapi atapona kwa mshika remote? Labda 'imani' yake huenda ikamuokoa.

Tukanyage ardhi ya Mungu kwa nidhamu.

A French saying:

Those who lose today Will win Tomorrow!

(Natural) inafanya kazi yake.. malipo ni hapa hapa duniani
 
Back
Top Bottom