Yuko wapi Henry Kisanduku aliyemnyooshea Nape bastola?

Yuko wapi Henry Kisanduku aliyemnyooshea Nape bastola?

Mara ya mwisho nilikutana nae Chato kipindi cha Buriani, hakuwa analia ila macho yake yaliongezeka wekundu na pia alishusha sana kofia yake ya kepu ya kaki na jinsi ya buluu iliyochomekwa shati nyeupe mikono mirefu. Kwa miaka 2 hii sijawahi onana nae tena ila bado ni Tiss japo atumiki tena kwa mishe ngumu. Kwa kumalizia,Anaishi kwa machale sana siku hizi na amekuwa mtu wa dini kiaina.
Chai
 
Halafu kuna wale maafande vijana waliokuwa wanatafuta sifa za kijinga kwa kutishia kumpiga risasi Adam Malima.

Nataka nijue wako wapi hivi sasa. Walipandishwa vyeo baada ya tukio lile? Walisimamishwa kazi? Waliondolewa Dar na kupelekwa mikoa mingine?.

Ila kama taifa tulifika pabaya sana, Mungu alifanya vyema kutuondolea yule shetani.


walikuwa kwenye majukumu ya kawaida kabisa,hawakupandishwa cheo na wala hawakupewa adhabu.

aliyesababisha malima kutishiwa kupigwa ni dereva wake,labda huyo ndio wa kutafutwa huwenda yeye peke yake ndiye maisha yake yalibadilika baada ya pale.
 
Kisanduku kafichwa Pemba ni wa kuchukua tu kama Kuku mwenye Mdondo.

wewe na wenzio mnadanganyana kisanduku ndiye alimtishia nape pistol,kajipendekezeni sasa mpewe mimba.

nape na kitenge wanamfahamu aliyemnyooshea pistol nape,nyinyi wengine ni heat za dada wa taifa zimewanajisi.
 
Fafanua mkuu, ni uhaini kivipi na je huruhusiwi kufanya press ukitolewa uwaziri? So ni kipindi gani baada ya kutolewa uwaziri ndo unaruhusiwa kufanya press??

hii ni miiko ya kiprotokali,ni sawa na baba yako akugonge kwenzi uondoke huku unageuka geuka nyuma bila kulia.

umepigwa chini kitulize,press unataka kubatilisha maamuzi au kutangazia umaa!!!!
 
Najaribu kufikiria. Kuna wanaosema hii bado ni awamu ya 5 part 2 inayomaliziwa na co-pilot (captain ad interim) baada ya captain kuzimika ghafla angani. Polepole anasimamia hoja hii na bado hajafikishwa hukumuni.

Lakini aliyekuwa co-pilot keshatuaminisha kuwa hii ni part 1 ya awamu ya 6 na yeye ndiye captain mpya kamili. Hivyo, 2025 atastahili form 1 ya peke yake kuingia part 2 kama desturi ya CCM inavyotaka.

Baada ya hapo inawezekana wataalamu mahiri wa sheria wakaibuka na nguvu ya hoja kusahihisha kosa “la kikatiba” lililofanyika kwa bahati mbaya na kurejesha ukweli wa Polepole kuwa 2025 ndipo awamu ya 5 inapoishia na part 1 ya awamu ya 6 kuanza.

Wenye chama, “any objection?”

Mkitoa pingamizi nikiwa judge natoa tu kiroho safi: “overruled”!
Yes twende Na bimkubwa mpaka 2035
 
hii ni miiko ya kiprotokali,ni sawa na baba yako akugonge kwenzi uondoke huku unageuka geuka nyuma bila kulia.

umepigwa chini kitulize,press unataka kubatilisha maamuzi au kutangazia umaa!!!!
Ni kisheria au ni utashi tu wa watu binafsi??
 
Sawa hana wasiwasi ila kwa sasa anamfikilia Nape japo Nape anajua adui yake sio Kisanduku bali ni Bashite. Mwambie huyo mwamba huko kwenye shimo la panya awe na amani shimo limezibwa kwa mkate jiwe halipo kwa sasa.
Kuna kipindi tulisikia ndo alikuwa number moja bodyguard wa makonda ama aikuwa kweri.
 
Unazani bila sakata lile alikuwa anafikiriwa kupewa ukuu wa mkoa?

malima ni kiongozi muda mrefu sana,tukio lile halikumpaisha na badala yake lilitaka kumgharimu,bahati nzuri hakuonekana kuvimba ktk video isipokuwa kumtuliza askari.
 
Back
Top Bottom