Yuko wapi Henry Kisanduku aliyemnyooshea Nape bastola?

Chai
 

walikuwa kwenye majukumu ya kawaida kabisa,hawakupandishwa cheo na wala hawakupewa adhabu.

aliyesababisha malima kutishiwa kupigwa ni dereva wake,labda huyo ndio wa kutafutwa huwenda yeye peke yake ndiye maisha yake yalibadilika baada ya pale.
 
Kisanduku kafichwa Pemba ni wa kuchukua tu kama Kuku mwenye Mdondo.

wewe na wenzio mnadanganyana kisanduku ndiye alimtishia nape pistol,kajipendekezeni sasa mpewe mimba.

nape na kitenge wanamfahamu aliyemnyooshea pistol nape,nyinyi wengine ni heat za dada wa taifa zimewanajisi.
 
Fafanua mkuu, ni uhaini kivipi na je huruhusiwi kufanya press ukitolewa uwaziri? So ni kipindi gani baada ya kutolewa uwaziri ndo unaruhusiwa kufanya press??

hii ni miiko ya kiprotokali,ni sawa na baba yako akugonge kwenzi uondoke huku unageuka geuka nyuma bila kulia.

umepigwa chini kitulize,press unataka kubatilisha maamuzi au kutangazia umaa!!!!
 
Yes twende Na bimkubwa mpaka 2035
 
hii ni miiko ya kiprotokali,ni sawa na baba yako akugonge kwenzi uondoke huku unageuka geuka nyuma bila kulia.

umepigwa chini kitulize,press unataka kubatilisha maamuzi au kutangazia umaa!!!!
Ni kisheria au ni utashi tu wa watu binafsi??
 
Sawa hana wasiwasi ila kwa sasa anamfikilia Nape japo Nape anajua adui yake sio Kisanduku bali ni Bashite. Mwambie huyo mwamba huko kwenye shimo la panya awe na amani shimo limezibwa kwa mkate jiwe halipo kwa sasa.
Kuna kipindi tulisikia ndo alikuwa number moja bodyguard wa makonda ama aikuwa kweri.
 
Unazani bila sakata lile alikuwa anafikiriwa kupewa ukuu wa mkoa?

malima ni kiongozi muda mrefu sana,tukio lile halikumpaisha na badala yake lilitaka kumgharimu,bahati nzuri hakuonekana kuvimba ktk video isipokuwa kumtuliza askari.
 
Nape siku hio alichofanya ni uhaini sema wabongo hawaelewi, yaani unaachishwa uwaziri unafanya press hapa Magufuli alifanya huruma sana.
Uhaini ni kutaka kupindua serikali ama haujui maana yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…