ChaiMara ya mwisho nilikutana nae Chato kipindi cha Buriani, hakuwa analia ila macho yake yaliongezeka wekundu na pia alishusha sana kofia yake ya kepu ya kaki na jinsi ya buluu iliyochomekwa shati nyeupe mikono mirefu. Kwa miaka 2 hii sijawahi onana nae tena ila bado ni Tiss japo atumiki tena kwa mishe ngumu. Kwa kumalizia,Anaishi kwa machale sana siku hizi na amekuwa mtu wa dini kiaina.
Halafu kuna wale maafande vijana waliokuwa wanatafuta sifa za kijinga kwa kutishia kumpiga risasi Adam Malima.
Nataka nijue wako wapi hivi sasa. Walipandishwa vyeo baada ya tukio lile? Walisimamishwa kazi? Waliondolewa Dar na kupelekwa mikoa mingine?.
Ila kama taifa tulifika pabaya sana, Mungu alifanya vyema kutuondolea yule shetani.
Nape ilifaa apewe uwaziri mambo ya ndani Ili awasake wahuni wa bashite wote watueleze wasiojulikana ni kina nani
Tamaa ya harrier iliwaponza vijana, wengine ni walemavu kwa upumbavu wao aliyewatuma kafa yamebaki na ulemavu wa kujitakia
Wrong packing, malima akapewa uRC hapohapo
Kisanduku kafichwa Pemba ni wa kuchukua tu kama Kuku mwenye Mdondo.
Unazani bila sakata lile alikuwa anafikiriwa kupewa ukuu wa mkoa?mh wee,malima kaka miezi 6 ndio akapewa huo URC.
acha wenge bana.
Fafanua mkuu, ni uhaini kivipi na je huruhusiwi kufanya press ukitolewa uwaziri? So ni kipindi gani baada ya kutolewa uwaziri ndo unaruhusiwa kufanya press??
Yes twende Na bimkubwa mpaka 2035Najaribu kufikiria. Kuna wanaosema hii bado ni awamu ya 5 part 2 inayomaliziwa na co-pilot (captain ad interim) baada ya captain kuzimika ghafla angani. Polepole anasimamia hoja hii na bado hajafikishwa hukumuni.
Lakini aliyekuwa co-pilot keshatuaminisha kuwa hii ni part 1 ya awamu ya 6 na yeye ndiye captain mpya kamili. Hivyo, 2025 atastahili form 1 ya peke yake kuingia part 2 kama desturi ya CCM inavyotaka.
Baada ya hapo inawezekana wataalamu mahiri wa sheria wakaibuka na nguvu ya hoja kusahihisha kosa “la kikatiba” lililofanyika kwa bahati mbaya na kurejesha ukweli wa Polepole kuwa 2025 ndipo awamu ya 5 inapoishia na part 1 ya awamu ya 6 kuanza.
Wenye chama, “any objection?”
Mkitoa pingamizi nikiwa judge natoa tu kiroho safi: “overruled”!
Ni kisheria au ni utashi tu wa watu binafsi??hii ni miiko ya kiprotokali,ni sawa na baba yako akugonge kwenzi uondoke huku unageuka geuka nyuma bila kulia.
umepigwa chini kitulize,press unataka kubatilisha maamuzi au kutangazia umaa!!!!
Mkuu kwa taarifa yako ccm wasikie hivyo hivyo revenge ipo sana.Mzee wangu nape sidhani kama ataangalia ya nyuma tena,atasonga mbele tu
Kuna kipindi tulisikia ndo alikuwa number moja bodyguard wa makonda ama aikuwa kweri.Sawa hana wasiwasi ila kwa sasa anamfikilia Nape japo Nape anajua adui yake sio Kisanduku bali ni Bashite. Mwambie huyo mwamba huko kwenye shimo la panya awe na amani shimo limezibwa kwa mkate jiwe halipo kwa sasa.
Ni kisheria au ni utashi tu wa watu binafsi??
Unazani bila sakata lile alikuwa anafikiriwa kupewa ukuu wa mkoa?
Kumbe mkulu alikosea basi. Unampaje mtu adhabu na hana kosa kisheria.hakuna sheria inayosimamia hilo.
hivyo hata adhabu yake haitakuwa na kipimo maalum.
Uhaini ni kutaka kupindua serikali ama haujui maana yake?Nape siku hio alichofanya ni uhaini sema wabongo hawaelewi, yaani unaachishwa uwaziri unafanya press hapa Magufuli alifanya huruma sana.
Kumbe mkulu alikosea basi. Unampaje mtu adhabu na hana kosa kisheria.
Si ndo udikteta huo.
Yani watu wote waliomwona wana makengeza?Aliyemtolea bastola nape siyo Henry kisandukku, picha ya henry nitaiweka hapa, yule alikuwa mshamba Fulani hivi